Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011



Babu yangu upo ? Dark City
 

Anhaaa.....

Nimemuachia Mungu.
 
 
Marejesho mpenzi hongera sana. Name nimeenjoy kukutana kwetu. Me love you much ingawa nina mipango ya muda mrefu na Filipo.. Ila nitahakikisha mipango yangu haikuathiri.


Mpenzi hii ni 2017..... Bado mna mipango ya muda mrefu na mume wangu Filipo ?
 


Best yangu LiverpoolFC upo?
 
Uzi huu lazima ulikuwa wa enzi zile hakuna Whatsupp na mambo mengine ila ninachokubali umesema ukweli sana.
Filipo big up sana kwa kumdaka juu juu shemelaaa letu la ukweli.
Ila sasa upunguze macho juu juu ili asikonde maana anaonekana ana kawivu fulani

Anhaaa.....

Nimemuachia Mungu.
 
Whatsapp imemaliza nguvu ya chitchat. Watu wameanzisha vigrupu kibao. Hakyamama hata kipaji changu cha kutongoza kimeshuka sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…