Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
Acha mikwara kijana, Mshana Jr hatishwi kufa, he is mortuary attendant
Umenifanya nicheke tu kwa kweli
Acha mikwara kijana, Mshana Jr hatishwi kufa, he is mortuary attendant
Mh! Ongera kuwepo kwenye listNilikutafuta Kaka Mshana jr.
Mie ndo nakabidhi lindo la Mochwari hapa MuH2
Nlimuwahi akiwa wa motomoto
Ka
Kifo kinikatiri...cjakubali
Nilitaka japo niwemo kwenye orodha...
S
Na siye wamwituni tumo
Ila kaka Umesema kweli tupu
Now I get it!!Ukiwa unapiga gitaa la Dally Kimoko na vile ni super staa lazima ujifiche, ndio maana alipoa..
Aliugua muda tu hali haikuwa poa kama zamani sema walifichaWewe naye usitudanganye hapa taarifa zinasema aliugua ghafla juzi akakimbizwa hosp hiyo ya siku nyingi unatuambia wewe leo.

Ila kwa tetesi nizokuwa nazisikia kipindi kile ilikuwa mwaka 2015 ni kwamba naye alikuwa ana ngoma na hizi story zilienea sanaaa mitaani.Aliugua muda tu hali haikuwa poa kama zamani sema walificha
Muulize Mshana Kwa maelezo zaidiHukumshika shika kweli wewe???
Maana mlimfaidi kweli nasikia hapo mochwari maana sio kwa shepu hilo...
Tangu nilipozisikia habar za kifo cha Agynes,nilijaribu kutengeneza hypotheses zifuatazo;
1.Huenda ameuawa na watu wa mtandao aliokuwa akiufanyia kazi
Hapa wengi labda ni vigogo wa vyama na serikali so,wanaona wakitajwa hali inaweza kuwa mbaya kwao kisiasa na kibiashara
2.Huenda alikuwa na gonjwa la kizungu so,akaona akienda kulazawa kwenye Hosp' kubwa kama Muhimbili au Agakhan newz zinaweza ku-leak mapema na yeye hakupenda jambo...pia yaweza kuwa watu wa mtandao walimpeleka kwenye Hosp'ya uchochoroni ili iwe rahsi kummaliza
3.Akiwa anafanya biashara ya kubeba poda huenda alipata madhara makubwa hasa kwenye utumbo na hivyo kupelekea duodenum disorder ambayo pengine ndyo iliyopelekea kifo chake
4.Huenda ni stress baada ya kuingia kwenye manoma na kukosa fedha huku jamii ikiwa ina mtazama kwa macho mabaya
Mwisho;Mungu ndye anayefaham ukweli wa kifo chake coz we are all attempting an intelligence guessing!
Yap kuna mtu kaniambia kuwa mbona siku nyingii tu alikuwa anatumia dawaIla kwa tetesi nizokuwa nazisikia kipindi kile ilikuwa mwaka 2015 ni kwamba naye alikuwa ana ngoma na hizi story zilienea sanaaa mitaani.
Aliugua muda tu hali haikuwa poa kama zamani sema walificha