Ilianza hivi hivi hata ule mwaka

Ilianza hivi hivi hata ule mwaka

Mapema 2021 matukio yalianza hivi hivi safari za Karimjee kutokwisha hadi pigo kuu lilipotimu.

Ee bwana Mungu wa Majeshi mlinde Rais wetu na mpe nguvu ili aweze kulitumikia Taifa kwa amani-AMINA!
suzy, suzy, suzy nakuita mara tatu
 
Huu mchezo mnausema sana humu, na sio kwamba mnausema kwa bahati mbaya bali mna mipango hiyo. Lakini bora muendelee ni hii michezo ya kumalizana, maana huenda tukapata mabadiliko ya kweli.
Duh 🙄 mambo gani tena haya ?? ! Mbona munatuchanganya ??
 
Sasa wana tofauti gani huyu chifu na msaidizi wake. Msaidizi hajui hata kuongea, kila siku ananyenyekea anafunga mikono. Kuna ile siku akiwa kilinge cha kupokelea mwewe alisema aliogopa alipoachiwa tunguri mkuu wake akaenda kutalii nje.
 
Ndugu tuwe makini nimeona dadili za corona tena inaweza kuwa kali kuliko zilizopita. Nina dots chache hapa:

1. Kifo cha Membe na Lumutuz, haijasemwa directly nini kimewatoa but maelezo ya daktari yanaashiria ni masuala hayo

2. Mamangu mzee kuugua mafua kali haijapata kumtokea na yeye kajaliwa kinga kubwa sana dhidi ya mafua. Tunaweza kuugua wote nyumbani mafua yeye asiugue. Korona iliyopita hakuugua mafua hata kidogo wakati wengine wote tulisikia dadili zote za korona!

3. Mimi nina wiki sasa kifua kilianza polepole na sasa kimezidi kubana ilikuwa usiku tu lakini sasa hata mchana hasa nikilala. Niko busy na mitishamba huku kijijini.

4. Nasikia pia mahospitali watu wenye changamoto za upumuaji wameongezeka sana recently.

Dadili za kipindi hiki zinaweza jumuisha:
1. Kubanwa kifua hasa ukiwa umelala. Inaanza na kusikia kama vile vitu vinachomachoma kifuani
2. Kuumwa kichwa kwa mbali
3. Mafua (baadhi)
4. Hakuna kikohozi

Mytake: Kwa bahati mbaya Tanzania serikali yetu ipo nyuma ya wakati, ni serikali ya maji ya shingo, ubabaishaji, usiri usiojali maisha ya watu, uzembe na kutwajibika kutokana na madhila zinazowapata wananchi wake. Take your steps based on the previous pandemic, usisubiri mtu.

Of course kirus hiki ni strain tofauti kutokana na zilizopita. Viral strains ni nyingi kama mjuavyo virus hubadilika kila wakati na kila kirus kina dadili zake na ukali wake.

Mapema 2021 matukio yalianza hivi hivi safari za Karimjee kutokwisha hadi pigo kuu lilipotimu.

Ee bwana Mungu wa Majeshi mlinde Rais wetu na mpe nguvu ili aweze kulitumikia Taifa kwa amani-AMINA!

Ushindwe na Ulegee

Tena alegeee mpk sehemu za sili apate na WA kumbamdua

kwa hiyo hata kama ni wenyewe kwa Tanzania huwa unamuhitaji tu rais?
Inashangaza

Huu mchezo mnausema sana humu, na sio kwamba mnausema kwa bahati mbaya bali mna mipango hiyo. Lakini bora muendelee ni hii michezo ya kumalizana, maana huenda tukapata mabadiliko ya kweli.

Na iwe hivyo!

Hujaenda ibadani Kimara KKkG leo? Sijakusikia

Ko tunafanyaje then?

R.I.P Le Mutuz, kuaga ni Karimjee

Sasa si mpango anachukua kiti ,maisha yanaendelea.

Halafu sikuona kama wanajali tena kuvaa barakoa; au kwakuwa walichanja?!

Mmeanza mamirogo ya kwenye midomo!
 
Ndugu tuwe makini nimeona dadili za corona tena inaweza kuwa kali kuliko zilizopita. Nina dots chache hapa:

1. Kifo cha Membe na Lumutuz, haijasemwa directly nini kimewatoa but maelezo ya daktari yanaashiria ni masuala hayo

2. Mamangu mzee kuugua mafua kali haijapata kumtokea na yeye kajaliwa kinga kubwa sana dhidi ya mafua. Tunaweza kuugua wote nyumbani mafua yeye asiugue. Korona iliyopita hakuugua mafua hata kidogo wakati wengine wote tulisikia dadili zote za korona!

3. Mimi nina wiki sasa kifua kilianza polepole na sasa kimezidi kubana ilikuwa usiku tu lakini sasa hata mchana hasa nikilala. Niko busy na mitishamba huku kijijini.

4. Nasikia pia mahospitali watu wenye changamoto za upumuaji wameongezeka sana recently.

Dadili za kipindi hiki zinaweza jumuisha:
1. Kubanwa kifua hasa ukiwa umelala. Inaanza na kusikia kama vile vitu vinachomachoma kifuani
2. Kuumwa kichwa kwa mbali
3. Mafua (baadhi)
4. Hakuna kikohozi

Mytake: Kwa bahati mbaya Tanzania serikali yetu ipo nyuma ya wakati, ni serikali ya maji ya shingo, ubabaishaji, usiri usiojali maisha ya watu, uzembe na kutwajibika kutokana na madhila zinazowapata wananchi wake. Take your steps based on the previous pandemic, usisubiri mtu.

Of course kirus hiki ni strain tofauti kutokana na zilizopita. Viral strains ni nyingi kama mjuavyo virus hubadilika kila wakati na kila kirus kina dadili zake na ukali wake.
Mungu anaamua ugomvi
 
Of course kirus hiki ni strain tofauti kutokana na zilizopita. Viral strains ni nyingi kama mjuavyo virus hubadilika kila wakati na kila kirus kina dadili zake na ukali wake.
Ulibahatika kupata chanjo?! Naona vigogo waliochanja kama hawana wasiwasi.

Inaweza kutusaidia kujua ufanisi wa hizi chanjo kupitia kwao.
 
Ndugu tuwe makini nimeona dadili za corona tena inaweza kuwa kali kuliko zilizopita. Nina dots chache hapa:

1. Kifo cha Membe na Lumutuz, haijasemwa directly nini kimewatoa but maelezo ya daktari yanaashiria ni masuala hayo

2. Mamangu mzee kuugua mafua kali haijapata kumtokea na yeye kajaliwa kinga kubwa sana dhidi ya mafua. Tunaweza kuugua wote nyumbani mafua yeye asiugue. Korona iliyopita hakuugua mafua hata kidogo wakati wengine wote tulisikia dadili zote za korona!

3. Mimi nina wiki sasa kifua kilianza polepole na sasa kimezidi kubana ilikuwa usiku tu lakini sasa hata mchana hasa nikilala. Niko busy na mitishamba huku kijijini.

4. Nasikia pia mahospitali watu wenye changamoto za upumuaji wameongezeka sana recently.

Dadili za kipindi hiki zinaweza jumuisha:
1. Kubanwa kifua hasa ukiwa umelala. Inaanza na kusikia kama vile vitu vinachomachoma kifuani
2. Kuumwa kichwa kwa mbali
3. Mafua (baadhi)
4. Hakuna kikohozi

Mytake: Kwa bahati mbaya Tanzania serikali yetu ipo nyuma ya wakati, ni serikali ya maji ya shingo, ubabaishaji, usiri usiojali maisha ya watu, uzembe na kutwajibika kutokana na madhila zinazowapata wananchi wake. Take your steps based on the previous pandemic, usisubiri mtu.

Of course kirus hiki ni strain tofauti kutokana na zilizopita. Viral strains ni nyingi kama mjuavyo virus hubadilika kila wakati na kila kirus kina dadili zake na ukali wake.
Acha upotofu wewe
 
sidhani kama shida hiyo ipo manake sijaona hata barakoa pale kwenye kuaga.
Mapema 2021 matukio yalianza hivi hivi safari za Karimjee kutokwisha hadi pigo kuu lilipotimu.

Ee bwana Mungu wa Majeshi mlinde Rais wetu na mpe nguvu ili aweze kulitumikia Taifa kwa amani-AMINA!
ona hata
 
Ulibahatika kupata chanjo?! Naona vigogo waliochanja kama hawana wasiwasi.

Inaweza kutusaidia kujua ufanisi wa hizi chanjo kupitia kwao.
Sikupata chanjo. Siogopi chanjo anyway.
 
Mapema 2021 matukio yalianza hivi hivi safari za Karimjee kutokwisha hadi pigo kuu lilipotimu.

Ee bwana Mungu wa Majeshi mlinde Rais wetu na mpe nguvu ili aweze kulitumikia Taifa kwa amani-AMINA!

Aamina
 
Mapema 2021 matukio yalianza hivi hivi safari za Karimjee kutokwisha hadi pigo kuu lilipotimu.

Ee bwana Mungu wa Majeshi mlinde Rais wetu na mpe nguvu ili aweze kulitumikia Taifa kwa amani-AMINA!
Alichokipanga Mungu, wewe binadamu ni nani hadi ukipangue? Acha asili ichukue nafasi yake.
 
Mapema 2021 matukio yalianza hivi hivi safari za Karimjee kutokwisha hadi pigo kuu lilipotimu.

Ee bwana Mungu wa Majeshi mlinde Rais wetu na mpe nguvu ili aweze kulitumikia Taifa kwa amani-AMINA!
Ndo Ndo Si Chururu
Jambo Hili Mpaka Kila Mtu Achukue Hatua
 
Back
Top Bottom