Ili Tanzania ipone, ni Lazima CCM ife

Ili Tanzania ipone, ni Lazima CCM ife

Unfortunately haifi sasa.
Ila we jamaa bhana aisee ,unandoto nyevu sana 🤣🤣

Fungua kichwa , hujifunzi kitu pale unapoona jeshi linasupport waandamanaji ili watekeleze wanachokitakeleza huku police wakidhibitiwa kutokuwashanbulia , hiyo haikupi picture kuwa ngoma ishalala hiyo ?

Jambo la pili nikwamba hapo jeshi halitalegeza tena kwasababu wanajua wakilegeza wengi watapoteza kazi kwa kuruhusu hilo kosa ,hiyo maana yake nikwamba Ngoma hapo afe beki afe kipa , Maza kwaheri na sheria zenye maslahi mapana ya Taifa ndani ,hapo CCM yako bado unaiona?


Amka
 
Wasipokufa ccm haifi. Wafe hadi vizazi vya sita.
🤣🤣

Japo nikweli ila kuuana siyo , tunawatoa kwasababu walikuwa wanatuua so kama tutawwua maana yake nasisi tutakuwa tumepoteza sababu za msingi za kuwatoa ,tuharibu tu mali zao na kuwaondosha madarakani inatosha ,kwenye kuuana jau mwanangu , watanganyika tupendane .

Aliyekuwa anatuua kipemba kile .
 
CCM ife na wenye ccm WAFE, wakibaki hai watatusumbua sana.
Wakamatwe wajazwe kwenye mwendokasi wapigwe kiberiti.
Hapana.
Ungesema hawa wafuatao 'specifically', ningekuunga mkono kwa hayo uliyo andika:
Samia Suluhu Hassan
Jakaya Mrisho Kikwete
Stephen Wasira
Jumanne Mulilo
Faustine Mafwele
Emmanuel Nchimbi
Roastam Azizz

Hao wengine wote ni kuwazaba vibao tu na kuwaacha warudi zao nyumbani kusimulia..

Ukifanya kwa wote kama ulivyo shauri, itaonyesha wewe siyo tofauti na haya mashetani
 
Ukiangalia Kenya struggle walioifanya haikuwa kuiua KANU bali waliifanya KANU iwe chama cha upinzani.
Wewe sasa umekengeuka zaidi ya hao tulio wazoea siku zote. Umerudi kulekule kwa mwanzo kabisa.

Utaanzia wapi kuilinganisha CCM na KANU? Haya mambo msiwe mnarukia tu kujibu bila ya kutumia fikra pevu.
 
Mimi nalilia ukosefu wa dhamira ya kweli ya kukubali mfumo wa kidemokrasia wa vyama vingi. Bila CCM kukubali mfumo huu kwa moyo mmoja, yote ni kazi bure na Tanzania itaendelea kupata tabu sana
Demokrasia ni nzuri; lakini katika mazingira ya hizi nchi mbovu kama haya tuliyo nayo Tanzania, binafsi nasita sana kuililia hiyo 'demokrasia' kwa wakati huu. Hali itabaki kuwa ni vurugu tu katika hiyo demokrasia na hatua za kwenda mbele kimaendeleo hazitakuwa za uhakika. Kila mwenye kuingia ataanza mipango yake upya?

Ingwezekana Tanzania ikabahatika kumpata , tutaanza kwenda mbele tukiwa tumenyooka vizuri kama taifa."DIKTETA", ndio, nimesema Dikteta ambaye ni mzalendo wa kwelikweli (siyo wa kuigiza kama Magufuli); akashika nchi kwa miaka kumi na kuinyoosha kabisa; kuondoa takataka zote za rushwa na mengine ya hovyo; na kuanza kutengeneza hiyo mifumo ya kuingia ndani ya demokrasia; huyo ningemuunga mkono bila kusita.

Moja ya kazi kubwa inayotakiwa kufanyika ni kuwarudisha waTanzania katika hali ya kujiamini. Tumekuwa watu wa ajabu ajabu sana, tuliojaa unafiki katika kila jambo. Mambo yanayosaidia kuondoa ubovu kama huo ni elimu sahihi ya kuwajengea waTanzania uwezo wa kujuwa kuwa wao ndio wasimamizi na watekelezaji wakuu wa agenda yao ya maendeleo.

Huko juu kukipatikana timu nzuri ya viongozi; wote wakiamini kutoonea watu bila sababu, lakini pia kutomwonea aibu yeyote
 
Wewe sasa umekengeuka zaidi ya hao tulio wazoea siku zote. Umerudi kulekule kwa mwanzo kabisa.

Utaanzia wapi kuilinganisha CCM na KANU? Haya mambo msiwe mnarukia tu kujibu bila ya kutumia fikra pevu.
KANU na TANU/AFROSHIRAZI vyote vilikuwa ni vya uhuru na baadae vikawa kandamizi kwanini nisivifananishe?
 
KANU na TANU/AFROSHIRAZI vyote vilikuwa ni vya uhuru na baadae vikawa kandamizi kwanini nisivifananishe?
Mfananisho wa kuwa "vyama vya uhuru" hauna maana yoyote katika muundo na mifumo kati ya vyama hivyo. Ndiyo maana nikakwambia inabidi utumia fikra nzito zaidi kujaribu kufananisha hivyo vyama.

Kulikuwa na tofauti kubwa sana kati ya TANU na KANU.

Ila kila nikijibishana nawe, sijui kwa nini kila mara namfikiria mkuu 'Erythro'!

Erthrocyte hakuwa mtu wa kupotea muda mrefu kiasi hiki bila ya kuaga! Na hasa tukikumbuka haya yanayoendelea sasa hivi.

Nafikiri italazimu kuanzisha Kampeni ya kumrudisha mkuu 'Erythro', popote alipo potelea!
 
Hapana.
Ungesema hawa wafuatao 'specifically', ningekuunga mkono kwa hayo uliyo andika:
Samia Suluhu Hassan
Jakaya Mrisho Kikwete
Stephen Wasira
Jumanne Mulilo
Faustine Mafwele
Emmanuel Nchimbi
Roastam Azizz

Hao wengine wote ni kuwazaba vibao tu na kuwaacha warudi zao nyumbani kusimulia..

Ukifanya kwa wote kama ulivyo shauri, itaonyesha wewe siyo tofauti na haya mashetani
Kuna wengi wanajiona miungu watu ndani ya ccm, binafsi viongozi wote ccm taifa, mikoa na wilaya tukiwafikia watawataja watekaji, watesaji na wauaji wote kwa majina matatu, hakuna huruma hawa ndio wanaharibu taifa hili kwa ulafi wa madaraka na uchawa wao.

Ukianza kuwaonea huruma basi wahurumiwe ccm wote, au wahukumiwe wote no exception.

Uvcc ndio walikuwa task force yao utawaachaje hao?

Kulia ni kwa zamu, wacha nao wasikie machungu ya kuteka, kutesa na kuuwa yakoje.
 
Kuna wengi wanajiona miungu watu ndani ya ccm, binafsi viongozi wote ccm taifa, mikoa na wilaya tukiwafikia watawataja watekaji, watesaji na wauaji wote kwa majina matatu, hakuna huruma hawa ndio wanaharibu taifa hili kwa ulafi wa madaraka na uchawa wao.

Ukianza kuwaonea huruma basi wahurumiwe ccm wote, au wahukumiwe wote no exception.

Uvcc ndio walikuwa task force yao utawaachaje hao?

Kulia ni kwa zamu, wacha nao wasikie machungu ya kuteka, kutesa na kuuwa yakoje.
Hapana, siwezi kamwe kumwonea huruma yeyote ndani ya chama hicho kwa sasa hivi; ila ninacho shauri, ni kila mmoja wao apate haki yake stahiki kulingana na uzito wa mabaya aliyo watendea waTanzania.
 
🤣🤣

Japo nikweli ila kuuana siyo , tunawatoa kwasababu walikuwa wanatuua so kama tutawwua maana yake nasisi tutakuwa tumepoteza sababu za msingi za kuwatoa ,tuharibu tu mali zao na kuwaondosha madarakani inatosha ,kwenye kuuana jau mwanangu , watanganyika tupendane .

Aliyekuwa anatuua kipemba kile .
Mkianza kuwahurumia basi muwahurumie wote, na msije mkaanza kulia lia tena wakubaki wakaanza unyama wao.

Unajua kwanini Watoto wa gadaffi walifungwa huko Jordan?

Na unajua kwanini Assad alikimbia na wafuadi wake wote Russia?

Wanajua unanyama wao hauvumiliki na ili haki itendeke wengi watataka nao wa feel the same pain that was caused to others.

The chain won't end, but they have to go through all they did to others. Aliyeuwa na auwawe na aliye tesa naye ateswe.

Walitubeza sasa zamu yao, kulia kwa zamu.
 
Hapana, siwezi kamwe kumwonea huruma yeyote ndani ya chama hicho kwa sasa hivi; ila ninacho shauri, ni kila mmoja wao apate haki yake stahiki kulingana na uzito wa mabaya aliyo watendea waTanzania.
Now you are talking, aliyeuwa naye auwawe, aliyetesa naye ateswe, walioiba wafilisiwe na waende jela, bila kuwa serious watatuona mang'ong'o tena.

If you want peace, prepare for a war.
 
Hebu weka tofauti hizo hapa?
Hiyo itakuwa ni mada nyingine.
La muhimu zaidi sasa hivi lisilotakiwa kuwekwa pembeni ni kuangalia jinsi hali inavyozidi kuendelea; na hasa hali ya huyo mama mwovu kabisa.
 
Mkianza kuwahurumia basi muwahurumie wote, na msije mkaanza kulia lia tena wakubaki wakaanza unyama wao.

Unajua kwanini Watoto wa gadaffi walifungwa huko Jordan?

Na unajua kwanini Assad alikimbia na wafuadi wake wote Russia?

Wanajua unanyama wao hauvumiliki na ili haki itendeke wengi watataka nao wa feel the same pain that was caused to others.

The chain won't end, but they have to go through all they did to others. Aliyeuwa na auwawe na aliye tesa naye ateswe.

Walitubeza sasa zamu yao, kulia kwa zamu.
Ili tufanikiwe we must maintain a strict focus on priorities , u'r assessment may indeed b correct, ze timing 4 its execution may not be presently opportune.

Our time iz exceedingly limited, it iz critical zat we target our primary objectives first.

Otherwise, we risk diffusing our efforts, straying 4rom ze core mission, and ultimately compromising our primary objectives , bila kumumunya maneno hapa jeshi limefanyanmaamuzi mazito sana so isipokuwa makini kuhakikisha inacheza vizuri na muda nakujikitankwenye malengo ya msingi kunamadhara kusababisha uwepo wa machafuko yakudumu .

Unajua hadi sasa office zote za uhamiaji zipo chini ya jeshi?

Unajua hadi sasa viwanja vyote vya ndege vipo chini ya jeshi?
Unajua maana yake?

Tulieni ,Ngoma ishaisha hii so haipaswi kumalizwa vibaya .
 
Ili tufanikiwe we must maintain a strict focus on priorities , u'r assessment may indeed b correct, ze timing 4 its execution may not be presently opportune.

Our time iz exceedingly limited, it iz critical zat we target our primary objectives first.

Otherwise, we risk diffusing our efforts, straying 4rom ze core mission, and ultimately compromising our primary objectives , bila kumumunya maneno hapa jeshi limefanyanmaamuzi mazito sana so isipokuwa makini kuhakikisha inacheza vizuri na muda nakujikitankwenye malengo ya msingi kunamadhara kusababisha uwepo wa machafuko yakudumu .

Unajua hadi sasa office zote za uhamiaji zipo chini ya jeshi?

Unajua hadi sasa viwanja vyote vya ndege vipo chini ya jeshi?
Unajua maana yake?

Tulieni ,Ngoma ishaisha hii so haipaswi kumalizwa vibaya .
Wacha wachukue tutajadili hilo baadaye baada ya ccm kuwa wamepigwa chini.

Hakuna namna ccm wataondoka bila jeshi kuchukua nchi.

Polisi waliisha kuwa ccm wote ndio maana walijitenga na wananchi na kumshambulia kila aliyeikosoa ccm.

Objective ni kuzuia uchaguzi, Samia must go, we need new constitition na new election commission na reforns za election ku level ground na kuruhusu all partie to participate fair election.

Na ili ccm waondoke lazima jeshi lichukue, hakuna altenative.
 
Wacha wachukue tutajadili hilo baadaye baada ya ccm kuwa wamepigwa chini.

Hakuna namna ccm wataondoka bila jeshi kuchukua nchi.

Polisi waliisha kuwa ccm wote ndio maana walijitenga na wananchi na kumshambulia kila aliyeikosoa ccm.

Objective ni kuzuia uchaguzi, Samia must go, we need new constitition na new election commission na reforns za election ku level ground na kuruhusu all partie to participate fair election.

Na ili ccm waondoke lazima jeshi lichukue, hakuna altenative.
Uko sahihi
 
Now you are talking, aliyeuwa naye auwawe, aliyetesa naye ateswe, walioiba wafilisiwe na waende jela, bila kuwa serious watatuona mang'ong'o tena.

If you want peace, prepare for a war.
I am saying, never again should Tanzania be subjected to this kind of rotten leadershi!p
 
Back
Top Bottom