Tunawaona Watumishi wanafanya kazi mpaka wanastaafu hawajafanya kitu,hoja sio mpaka ufanye kitu ,miaka 10 tayari una mtaji na uzoefu,mpishe na mwingineKwa vile huna kazi unataka wenzako nao wasiwe na kazi, hivi kwa mishahara hii miaka kumi utakuwa umefanya nini la maana.
Yatakua Maajabu ya Dunia haya...sababu kubwa ni nini asa ya kufanya hivyo. Kuboresha utendaji wa kazi au kila mtu aonje kazi serikaliniTunawaona Watumishi wanafanya kazi mpaka wanastaafu hawajafanya kitu,hoja sio mpaka ufanye kitu ,miaka 10 tayari una mtaji na uzoefu,mpishe na mwingine
Kwa vile huna kazi unataka wenzako nao wasiwe na kazi, hivi kwa mishahara hii miaka kumi utakuwa umefanya nini la maana.
Yatakua Maajabu ya Dunia haya...sababu kubwa ni nini asa ya kufanya hivyo. Kuboresha utendaji wa kazi au kila mtu aonje kazi serikalini
Mugabe anachekesha mbona yeye alikaa miaka kibao hakuondoka Hadi jeshi likamuondoa.Anyway Hilo wazo no zuri kwa baadhi ya sekta kutengeneza jenerali wa jeshi,daktari bingwa,profesa hiyo miaka kumi midogo.Nchi itakuwa haina madaktari bingwa,maprofesa na magenerali wa jeshi ushauri wako wa miaka Kumi ukifanyiwa kazi
uko sahihiTatizo kubwa la wazo hili ni kwamba mfanyakazi anakusanya uzoefu kadiri anavyoendelea, hivyo shirika litafaidikaje na hiyo rasilimali? usifikirie tu gharama za kumlipa mshahara, fikiria utakamuaje uzoefu anaoupata kwa faida ya shirika?
Ndio maana simuelewi kabisa Magufuli anapowastaafisha maprofesa, wakati ndio wanaiva. nchi za wenzetu profesa anaendelea kutumika hata anatumia wheelchair. sasa huku kwetu sijui kwa sababu maprofesa tunawa-abuse na kuwa-misuse mpaka wanakuwa vichekesho. lakini haitakiwi iwe hivyo kabisa. across the board mfanyakazi anakuwa mzoefu anavyoendelea, na inatakiwa mikakati ya kukamua uzoefu huo na pia kuhakikisha kwamba kuna mtu wa kumrithi ili kuhifadhi uzoefu katika shirika.uko sahihi
Hiyo miaka Kumi Ni ya kutengeneza expert Sasa unatengeneza akishafikia u expert unamstaafisha wakati hapo ndio anatakiwa kuanza kuonyesha uwezo wake na kuleta faida.
Issue ni kuboresha utendaji ni vema utumishi ukawa wa Mikataba mtu anapimwa kwa mkataba walio wekeana kwa muda fulani akishindwa analipwa haki zake anaondoka sio huu ukiajiriwa basi mpaka ufe hata kama utendaji wako hauna tijaYatakua Maajabu ya Dunia haya...sababu kubwa ni nini asa ya kufanya hivyo. Kuboresha utendaji wa kazi au kila mtu aonje kazi serikalini
Yeye kakaa miaka mingapi?
Kwa vile huna kazi unataka wenzako nao wasiwe na kazi, hivi kwa mishahara hii miaka kumi utakuwa umefanya nini la maana.
Tunawaona Watumishi wanafanya kazi mpaka wanastaafu hawajafanya kitu,hoja sio mpaka ufanye kitu ,miaka 10 tayari una mtaji na uzoefu,mpishe na mwingine