Ili Haki Itendeke, Sio Tuu Itendeke, Bali ni Lazima Ionekane Imetendeka!, Kama Tumewashitaki Waandamanaji, Pia Tuwashitaki na Wauaji!

Ili Haki Itendeke, Sio Tuu Itendeke, Bali ni Lazima Ionekane Imetendeka!, Kama Tumewashitaki Waandamanaji, Pia Tuwashitaki na Wauaji!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,721
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.
Screenshot_20251109-174306.png
Screenshot_20251109-174427.png
Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers
  • Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka halali za nchi, kwa sisi Wakrsto tunafundishwa kumpa Mungu yaliyo ya Kimungu na kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari, ikiwemo kulipa kodi na utii kwa mamlaka halali za nchi.
  • Rais Samia baada ya kutangazwa na INEC kuwa ndiye mshindi, tangazo hilo ndio hitimisho la uchaguzi, na mshindi aliyetangazwa kushinda uchaguzi huo anakuwa ni mshindi halali kabisa kisheria hata kama ushindi wake umepatikana kwa bao la mkono na kugharamiwa na damu za Watanzania.
  • Kufuatia ripoti za waangalizi wa uchaguzi kuwa uchaguzi, kuna watu wanadhani kutokuwa huru na haki, maana yake uchaguzi ni haramu.
  • Tanzania tuna changamoto ya kutafsiri sheria, kuna tofauti kati ya uhalali wa kisheria na haki ni vitu viwili tofauti.
  • Japo uchaguzi ulikumbwa na dosari, kwa mujibu wa Katiba yetu, Tume ya uchaguzi INEC, ikiisha mtangaza mshindi, uamuzi huo ni wa mwisho, final and conclusive, hata kama kulitokea dosari kiasi gani, likiwemo bao la mkono, matokeo haya yanakuwa ni matokeo ya halali kisheria, hata kama sio matokeo halali ki haki!.
  • Kufuatia uhalali wa kisheria wa matokeo ya uchaguzi Rais Samia baada ya kuapishwa anakuwa ni rais halali kisheria, hivyo ni lazima aheshimiwe na wote kwa ile heshima ya lazima ya wajibu wa kuheshimu mamlaka halali.
  • Japo Rais Samia ni Rais halali kisheria, sio lazima awe Rais halali ki haki kwasababu haki na sheria ni vitu viwili tofauti, kuna vitu ni halali kisheria lakini sio vya haki, na kuna vitu ni vya haki lakini sio halali.
  • Neno halali, haramu batili na isiyo halali ni hoja za kisheria, sio kila kisicho halali ni haramu, kuna vitu sio halali lakini sio haramu.
  • Kitendo cha INEC kumtangaza Rais Samia ndie ameshinda uchaguzi kinamfanya Rais Samia kuwa mshindi halali hata kama uchaguzi ulikumbwa na dosari za vurugu na maandamano.
  • Mahakama ni mamlaka halali, mshindi akiisha apishwa, uapisho huo umemhalalisha kuwa rais halali wa Tanzania.
    Ushauri Wangu
    1. Japo uchaguzi umesababisha madhara kwa vifo na uharibifu wa mali, hivyo kugharamiwa na damu za Watanzania watu wana machungu na hasira, tusiendelee kuchochea moto kwa kunyoosheana vidole kwa kubambikiana kesi za uhaini, badala ya tujikite kwenye kuliponya taifa.
    2. Tuendelee kupeana pole wote kwa yote na tuiombe serikali yetu, ikubali kutoa msamaha wa jumla kwa wahusika wote. Tumeona waandamanaji wakipandishwa kizimbani, kwa kubambikiwa kesi ya uhaini ambayo hukumu yake ni kifo, tunaomba na wauwaji nao washitakiwe kwa kesi ya mauaji ambayo nayo hukumu yake ni kifo.
    3. Kilichotokea ni matokeo tuu ya uzembe, jeuri na kiburi cha serikali yetu kutokuwa sikivu. tutibu chanzo na serikali yetu ikubali to bear all the responsibilities of its own making.
    4. Haki huinua Taifa (Mithali 14:34) na haki na amani vinabusiana (Zaburi 85:10) wenye kutoa hukumu dhidi yetu na dhidi ya wengine watoe hukumu kwa haki
    5. (Quran 4:58) na Haki ifanywe kipaumbele (Quran 16:90) tudumishe Tanzania ya uhuru na umoja na zaidi tujenge Tanzania mpya yenye haki na furaha ambavyo ni vilele vya amani ya kweli.

    Mungu Ibariki Tanzania

    Paskali
 
Si kweli kwamba uchaguzi ulikuwa na dosari. Uchaguzi haukufanyika. Mnamo majira ya saa tano vituo vingi vilikuwa vimeshavurugwa, kura zilichomwa moto, wasimamizi walikimbia. Mida ya saa nane hakukua na upigaji kura tena katika maeneo mengi sana. Uchaguzi haukufanyika.
 
Pasco,
Huyo mama uhalali wake unakujaje?

Uhalali wa kumweka mpinzani wake kizuizini kama namna ya kumkwepa?

Uhalali wa kuengua wapinzani kwenye mchakato "amidst the process" ?

Uhalali wa kuua na kuteka wanaomkosoa kinyama?

She's a Cold-blooded murderer.
A typical bloodthirsty kaffir.
She's a blood sucker and killer.
Barbaric and uncouthed type of woman.
Her blood thirst is extremely high and alarming.
She's definitely not a woman with a womb.
 
Pasco,
Huyo mama uhalali wake unakujaje?

Uhalali wa kumweka mpinzani wake kizuizini kama namna ya kumkwepa?

Uhalali wa kuengua wapinzani kwenye mchakato "amidst the process" ?

Uhalali wa kuua na kuteka wanaomkosoa kinyama?

Nyie makasuku ndio mnaomharibia huyu mama na ndio mmemfikisha hapo kwenye "Cold blooded murderer "
She's a typical bloodthirsty kaffir.
She's a blood sucker and killer.
Barbaric and uncouthed type of woman.
Her thirsty to blood is extremely high and alarming.
She's definitely not a woman with womb.
Paskali huwa anaongea kwa utani, lakini hajui huu utani wenzake huko Serikalini hawana akili za utambuzi za kujua kipi ni utani na kipi kina ukweli. Paskali ningemshauri kwa sasa aache kufanya anayoyafanya kwa sababu kuna habari kuwa watu wamechukia. Kuna watu wana hasira.......Kabendera alivyotekwa, Paskali alilaumiwa kwa sababu ya article zake za kimzaha mzaha. Ile article ya Kabendera ya "Dinosaurs of Dodoma" ilileta madhara makubwa sana kwa Kabendera, Paskali alishabikia na bado anaendelea! Shauri lako Paskali.
Kawaida watanzania wachache sana wanasoma magazeti kama Newsweek, Times, au The economist, sasa jamaa walivyompelekea bwana mkubwa ile article baada ya kusoma, jiwe akageuka mbogo, na yakatokea ya kutokea. Tuchunge sana midomo yetu, tukemee wale wasiotenda haki kwa sababu maendeleo ni tunda la haki. Kama hakuna haki basi maendeleo yanaweza yasiwepo. Angalia nchi zenye kutenda haki na zenye uhuru mkubwa, mahali zilipo kulinganisha na nchi zisizojali haki za binadamu. Huyu rais aliyejitangaza ana uwezo mdogo sana wa kufikiri, ndiyo maana anaangalia vi-clip vidogo vidogo na anaviamini.
 
Wauaji unawashitaki wapi kwa nani?

Ikiwa ni ICC sawa siyo mahakama za Tanzania?

Polisi, na ccm wote ni wauaji unawakamataje?
 
Jamaa yangu Paskali yawezekana ukawa unajua au unajizima data.

Ila kwa ufupi mfumo ulishakukataa kupitia elimu yako ya uanahabari unaandika na kupitia kuandika kwako ndipo unapoharibu ila hujui.

Kwa nini nasema aitha unajua au hujui, maandiko yako kadhaa yemekuwa ni kwa ajili ya kusifia na kuponda kwa angle ya tafsida, hapo ndipo kwenye shida.

Asante.
 
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.View attachment 3499646View attachment 3499647Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers
  • Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka halali za nchi, kwa sisi Wakrsto tunafundishwa kumpa Mungu yaliyo ya Kimungu na kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari, ikiwemo kulipa kodi na utii kwa mamlaka halali za nchi.
  • Rais Samia baada ya kutangazwa na INEC kuwa ndiye mshindi, tangazo hilo ndio hitimisho la uchaguzi, na mshindi aliyetangazwa kushinda uchaguzi huo anakuwa ni mshindi halali kabisa kisheria hata kama ushindi wake umepatikana kwa bao la mkono na kugharamiwa na damu za Watanzania.
  • Kufuatia ripoti za waangalizi wa uchaguzi kuwa uchaguzi, kuna watu wanadhani kutokuwa huru na haki, maana yake uchaguzi ni haramu.
  • Tanzania tuna changamoto ya kutafsiri sheria, kuna tofauti kati ya uhalali wa kisheria na haki ni vitu viwili tofauti.
  • Japo uchaguzi ulikumbwa na dosari, kwa mujibu wa Katiba yetu, Tume ya uchaguzi INEC, ikiisha mtangaza mshindi, uamuzi huo ni wa mwisho, final and conclusive, hata kama kulitokea dosari kiasi gani, likiwemo bao la mkono, matokeo haya yanakuwa ni matokeo ya halali kisheria, hata kama sio matokeo halali ki haki!.
  • Kufuatia uhalali wa kisheria wa matokeo ya uchaguzi Rais Samia baada ya kuapishwa anakuwa ni rais halali kisheria, hivyo ni lazima aheshimiwe na wote kwa ile heshima ya lazima ya wajibu wa kuheshimu mamlaka halali.
  • Japo Rais Samia ni Rais halali kisheria, sio lazima awe Rais halali ki haki kwasababu haki na sheria ni vitu viwili tofauti, kuna vitu ni halali kisheria lakini sio vya haki, na kuna vitu ni vya haki lakini sio halali.
  • Neno halali, haramu batili na isiyo halali ni hoja za kisheria, sio kila kisicho halali ni haramu, kuna vitu sio halali lakini sio haramu.
  • Kitendo cha INEC kumtangaza Rais Samia ndie ameshinda uchaguzi kinamfanya Rais Samia kuwa mshindi halali hata kama uchaguzi ulikumbwa na dosari za vurugu na maandamano.
  • Mahakama ni mamlaka halali, mshindi akiisha apishwa, uapisho huo umemhalalisha kuwa rais halali wa Tanzania.
    Ushauri Wangu
    1. Japo uchaguzi umesababisha madhara kwa vifo na uharibifu wa mali, hivyo kugharamiwa na damu za Watanzania watu wana machungu na hasira, tusiendelee kuchochea moto kwa kunyoosheana vidole kwa kubambikiana kesi za uhaini, badala ya tujikite kwenye kuliponya taifa.
    2. Tuendelee kupeana pole wote kwa yote na tuiombe serikali yetu, ikubali kutoa msamaha wa jumla kwa wahusika wote. Tumeona waandamanaji wakipandishwa kizimbani, kwa kubambikiwa kesi ya uhaini ambayo hukumu yake ni kifo, tunaomba na wauwaji nao washitakiwe kwa kesi ya mauaji ambayo nayo hukumu yake ni kifo.
    3. Kilichotokea ni matokeo tuu na sio chanzo, chanzo tutibu chanzo.
    4. Haki huinua Taifa (Mithali 14:34) na haki na amani vinabusiana (Zaburi 85:10) wenye kutoa hukumu dhidi yetu na dhidi ya wengine watoe hukumu kwa haki
    5. (Quran 4:58) na Haki ifanywe kipaumbele (Quran 16:90) tudumishe Tanzania ya uhuru na umoja na zaidi tujenge Tanzania mpya yenye haki na furaha ambavyo ni vilele vya amani ya kweli.

    Mungu Ibariki Tanzania

    Paskali
Kwa nchi ya tabaka la chawa wa ccm na wanaowabwekea wezi,wanaolinda maslahi yao huku waki hubiri amani na kuizika haki,hilo haliwezi kutarajiwa huku ukiiomba haki.
 
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.View attachment 3499646View attachment 3499647Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers
  • Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka halali za nchi, kwa sisi Wakrsto tunafundishwa kumpa Mungu yaliyo ya Kimungu na kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari, ikiwemo kulipa kodi na utii kwa mamlaka halali za nchi.
  • Rais Samia baada ya kutangazwa na INEC kuwa ndiye mshindi, tangazo hilo ndio hitimisho la uchaguzi, na mshindi aliyetangazwa kushinda uchaguzi huo anakuwa ni mshindi halali kabisa kisheria hata kama ushindi wake umepatikana kwa bao la mkono na kugharamiwa na damu za Watanzania.
  • Kufuatia ripoti za waangalizi wa uchaguzi kuwa uchaguzi, kuna watu wanadhani kutokuwa huru na haki, maana yake uchaguzi ni haramu.
  • Tanzania tuna changamoto ya kutafsiri sheria, kuna tofauti kati ya uhalali wa kisheria na haki ni vitu viwili tofauti.
  • Japo uchaguzi ulikumbwa na dosari, kwa mujibu wa Katiba yetu, Tume ya uchaguzi INEC, ikiisha mtangaza mshindi, uamuzi huo ni wa mwisho, final and conclusive, hata kama kulitokea dosari kiasi gani, likiwemo bao la mkono, matokeo haya yanakuwa ni matokeo ya halali kisheria, hata kama sio matokeo halali ki haki!.
  • Kufuatia uhalali wa kisheria wa matokeo ya uchaguzi Rais Samia baada ya kuapishwa anakuwa ni rais halali kisheria, hivyo ni lazima aheshimiwe na wote kwa ile heshima ya lazima ya wajibu wa kuheshimu mamlaka halali.
  • Japo Rais Samia ni Rais halali kisheria, sio lazima awe Rais halali ki haki kwasababu haki na sheria ni vitu viwili tofauti, kuna vitu ni halali kisheria lakini sio vya haki, na kuna vitu ni vya haki lakini sio halali.
  • Neno halali, haramu batili na isiyo halali ni hoja za kisheria, sio kila kisicho halali ni haramu, kuna vitu sio halali lakini sio haramu.
  • Kitendo cha INEC kumtangaza Rais Samia ndie ameshinda uchaguzi kinamfanya Rais Samia kuwa mshindi halali hata kama uchaguzi ulikumbwa na dosari za vurugu na maandamano.
  • Mahakama ni mamlaka halali, mshindi akiisha apishwa, uapisho huo umemhalalisha kuwa rais halali wa Tanzania.
    Ushauri Wangu
    1. Japo uchaguzi umesababisha madhara kwa vifo na uharibifu wa mali, hivyo kugharamiwa na damu za Watanzania watu wana machungu na hasira, tusiendelee kuchochea moto kwa kunyoosheana vidole kwa kubambikiana kesi za uhaini, badala ya tujikite kwenye kuliponya taifa.
    2. Tuendelee kupeana pole wote kwa yote na tuiombe serikali yetu, ikubali kutoa msamaha wa jumla kwa wahusika wote. Tumeona waandamanaji wakipandishwa kizimbani, kwa kubambikiwa kesi ya uhaini ambayo hukumu yake ni kifo, tunaomba na wauwaji nao washitakiwe kwa kesi ya mauaji ambayo nayo hukumu yake ni kifo.
    3. Kilichotokea ni matokeo tuu na sio chanzo, chanzo tutibu chanzo.
    4. Haki huinua Taifa (Mithali 14:34) na haki na amani vinabusiana (Zaburi 85:10) wenye kutoa hukumu dhidi yetu na dhidi ya wengine watoe hukumu kwa haki
    5. (Quran 4:58) na Haki ifanywe kipaumbele (Quran 16:90) tudumishe Tanzania ya uhuru na umoja na zaidi tujenge Tanzania mpya yenye haki na furaha ambavyo ni vilele vya amani ya kweli.

    Mungu Ibariki Tanzania

    Paskali
Na wengine ambao ni chanzo ni wale wabadhirifu wa Mali ya umma
 
Wakumbushe ccm wenzako kwamba taarifa za kuwakamata viongozi wa chadema ili kuwalazimisha kushiriki maridhiano hazitawasaidia.

Wananchi walimkataa Mbowe kwa sababu ya kukubali maridhiano, na yeyote atakaye yakubali atakataliwa na wananchi.

Maridhiano pekee ni kuruhusu uchaguzi huru, tume huru siyo nusu mkate.
 
Ngosha wewe ni bingwa wa kung'ata lakini pia unajua kupuliza 👍
Ngosha anayo kumbukumbu inayonuka sababu ni kuuliza maswali magumu yenye kuwapa faida watanzania,ilimgarimu press card na ndoto yake kwenye teuzi zozote hata fursa kwenye uwanja wake wahabari wakati huo hata habari za kichawa za kijani alipigwa pin!
 
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.View attachment 3499646View attachment 3499647Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers
  • Dini zote zinafundisha utii kwa mamlaka halali za nchi, kwa sisi Wakrsto tunafundishwa kumpa Mungu yaliyo ya Kimungu na kumpa Kaisari yaliyo ya Kaisari, ikiwemo kulipa kodi na utii kwa mamlaka halali za nchi.
  • Rais Samia baada ya kutangazwa na INEC kuwa ndiye mshindi, tangazo hilo ndio hitimisho la uchaguzi, na mshindi aliyetangazwa kushinda uchaguzi huo anakuwa ni mshindi halali kabisa kisheria hata kama ushindi wake umepatikana kwa bao la mkono na kugharamiwa na damu za Watanzania.
  • Kufuatia ripoti za waangalizi wa uchaguzi kuwa uchaguzi, kuna watu wanadhani kutokuwa huru na haki, maana yake uchaguzi ni haramu.
  • Tanzania tuna changamoto ya kutafsiri sheria, kuna tofauti kati ya uhalali wa kisheria na haki ni vitu viwili tofauti.
  • Japo uchaguzi ulikumbwa na dosari, kwa mujibu wa Katiba yetu, Tume ya uchaguzi INEC, ikiisha mtangaza mshindi, uamuzi huo ni wa mwisho, final and conclusive, hata kama kulitokea dosari kiasi gani, likiwemo bao la mkono, matokeo haya yanakuwa ni matokeo ya halali kisheria, hata kama sio matokeo halali ki haki!.
  • Kufuatia uhalali wa kisheria wa matokeo ya uchaguzi Rais Samia baada ya kuapishwa anakuwa ni rais halali kisheria, hivyo ni lazima aheshimiwe na wote kwa ile heshima ya lazima ya wajibu wa kuheshimu mamlaka halali.
  • Japo Rais Samia ni Rais halali kisheria, sio lazima awe Rais halali ki haki kwasababu haki na sheria ni vitu viwili tofauti, kuna vitu ni halali kisheria lakini sio vya haki, na kuna vitu ni vya haki lakini sio halali.
  • Neno halali, haramu batili na isiyo halali ni hoja za kisheria, sio kila kisicho halali ni haramu, kuna vitu sio halali lakini sio haramu.
  • Kitendo cha INEC kumtangaza Rais Samia ndie ameshinda uchaguzi kinamfanya Rais Samia kuwa mshindi halali hata kama uchaguzi ulikumbwa na dosari za vurugu na maandamano.
  • Mahakama ni mamlaka halali, mshindi akiisha apishwa, uapisho huo umemhalalisha kuwa rais halali wa Tanzania.
    Ushauri Wangu
    1. Japo uchaguzi umesababisha madhara kwa vifo na uharibifu wa mali, hivyo kugharamiwa na damu za Watanzania watu wana machungu na hasira, tusiendelee kuchochea moto kwa kunyoosheana vidole kwa kubambikiana kesi za uhaini, badala ya tujikite kwenye kuliponya taifa.
    2. Tuendelee kupeana pole wote kwa yote na tuiombe serikali yetu, ikubali kutoa msamaha wa jumla kwa wahusika wote. Tumeona waandamanaji wakipandishwa kizimbani, kwa kubambikiwa kesi ya uhaini ambayo hukumu yake ni kifo, tunaomba na wauwaji nao washitakiwe kwa kesi ya mauaji ambayo nayo hukumu yake ni kifo.
    3. Kilichotokea ni matokeo tuu na sio chanzo, chanzo tutibu chanzo.
    4. Haki huinua Taifa (Mithali 14:34) na haki na amani vinabusiana (Zaburi 85:10) wenye kutoa hukumu dhidi yetu na dhidi ya wengine watoe hukumu kwa haki
    5. (Quran 4:58) na Haki ifanywe kipaumbele (Quran 16:90) tudumishe Tanzania ya uhuru na umoja na zaidi tujenge Tanzania mpya yenye haki na furaha ambavyo ni vilele vya amani ya kweli.

    Mungu Ibariki Tanzania

    Paskali
Kitu haramu hakigeuki kuwa halali kwa kuitwa halali. Once haramu always haramu!
 
Ngosha anayo kumbukumbu inayonuka sababu ni kuuliza maswali magumu yenye kuwapa faida watanzania,ilimgarimu press card na ndoto yake kwenye teuzi zozote hata fursa kwenye uwanja wake wahabari wakati huo hata habari za kichawa za kijani alipigwa pin!
Aliambiwa Mayalla maana yake ni njaa katika lugha ya Kisukuma.😂
 
Wakumbushe ccm wenzako kwamba taarifa za kuwakamata viongozi wa chadema ili kuwalazimisha kushiriki maridhiano hazitawasaidia.

Wananchi walimkataa Mbowe kwa sababu ya kukubali maridhiano, na yeyite atakaye yakubali atakataliwa na wananchi.

Maridhiajo pekee ni kuruhusu uchaguzi huru, tume huru siyo nusu mkate.
Leo hii mbowe yuko wapi, ushawish hana tena.
That itself lazima iwe kama example when wananchi wakikutenga it game over
 
Back
Top Bottom