Ili Elimu yetu iwe bora, wanasiasa wana mchango gani?

Ili Elimu yetu iwe bora, wanasiasa wana mchango gani?

Wasomi ndani ya jeshi la polisi weledi wa kielimu, ukweli na kuaminika kuelekea dira ya taifa 2050 kuleta imani kwa wawekezaji kuwa kuna utawala bora unaozingatia ukweli na haki :


08 October 2025
Mahakama Kuu ya
Tanzania
Kivukoni Front
Dar es Salaam

Kesi ya uhaini 19605 /2025 Republic vs Tundu Lissu @ High Court of Tanzania

Part 3: SHAHIDI AVUKA MIPAKA AMDHARAU LISSU MBOWE NI BORA KULIKO WEWE LISSU AMSHUGHULIKIA IPASAVYO


View: https://m.youtube.com/watch?v=eR_yRnz5JV8
Shahidi namba 1 wa serikali kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Assistant commissioner of Police (ACP) George Bagyemu msomi mwenye master's degree ambaye ni Msaidizi wa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Faustine Mafwele ameiambia mahakama kuu kuwa hakuna kesi yoyote ya kisiasa aliyoifungua (kuipeleleza) halafu mshtakiwa akakutwa na hatia.
Ya Dokta Slaa ilifutwa, ya Lembeli ilifutwa na ya Heche alipokuwa Mwenyekiti wa Bavicha ilifutwa..

On cross examination, Assistant commissioner of Police (ACP) George Bagyemu seems to have limited knowledge of Tanzanian criminal reports and current affairs ..


23 June 2021 Mr Lissu launched his book titled Remaining in the Shadows – Parliament and Accountability in East Africa...
 
Assistant commissioner of Police (ACP) George Bagyemu msomi mwenye master's degree ambaye ni Msaidizi wa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Changamoto ndani ya jeshi la polisi kuhusu elimu waliyopata vyuoni katika utekelezaji wa majukumu yao

1759967064791.jpeg

DEPUTY ZONAL CRIMINAL OFFICER ACP GEORGE BAGYEMU IS WITNESS IN LISSU’S CASE Bagyemu who has been identified as main culprit in yesterday’s police violence amd previous abductions, assault and torture of people who tried to attend the trial of Lissu is apparently a witness too! Source : Maria_Sarungi @ X
 
08 October 2025
Iringa, Tanzania

KONGAMANO LA PPP 2025 - JE, TUNAJENGA UCHUMI JUMUISHI AU WA WACHACHE

RUCU NA PPPC KONGAMANO KUBWA KUJADILI UBIA WA MAENDELEO KUELEKEA DIRA YA TAIFA 2050

View: https://m.youtube.com/watch?v=Y2s3d2d6h2o


Profesa Samuel Mwita Wangwe mwezeshaji afafanua matatizo katika miradi ya PPP nchini Tanzania ya financing, management, capacity building, research n.k na vipi kama taifa kujipanga na pia jinsi habari za mradi wa PPP ueleweke vizuri kama David Kafulila alivyosisitiza juu ya kutoa taarifa kwa umma ili mradi ufahamike kwa umma mpana zaidi


October 09,2025
Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public–Private Partnership Center – PPPC) kwa pamoja wameandaa kongamano kubwa la kitaifa na kitaaluma lenye kaulimbiu “Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kama Nguzo ya Maendeleo Endelevu kuelekea Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.”


kongamano hilo linafanyika Jumatano, tarehe 09 Oktoba 2025 katika Ukumbi Mkuu wa RUCU mjini Iringa, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 8:00 mchana

Wawezaji wa mada :
  • Prof. Musa J. Assad makamu mkuu wa chuo kikuu MUM
  • David Zakaria Kafulila mkurugenzi PPPC
  • Dkt. Mwajuma Hamza mkurugenzi mtendaji TWCC Tanzania Women's Chamber of Commerce
  • Prof. Humphrey Moshi wa UDSM
  • Sr. Prof. Chrispina Lekule makamu mkuu chuo kikuu RUCU
  • Prof. Samuel Mwita Wangwe chairman Daima Associates
  • Dr. Isidory Minani dean Faculty of Business Management Sciences University of RUCU Ruaha Catholic University
 
Back
Top Bottom