Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,835
- 50,523
Kuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?
iwe kama sauzi vile walikiwa wanadili na moles.Kuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?
Ifuate ushauri wa Marehemu Lowassa chama ki-graduate kutoka harakati kuwa cha siasa zenye makengo ya kushika dola sio malengo ya kumfurahisha Mariah sarungi maisha yamebadilika watanzania wanataka kusikia sera sio kelele na maandamano hata sehemu sio ya kushupaza shingo lakini chadema wanashupaza ndio maana kila tukio wanajikuta wale wale tu bila kuungwa mkono na wananchi...Kuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?
Reform kwanza wananchi watasikia sera vizuri tuIfuate ushauri wa Marehemu Lowassa chama ki-graduate kutoka harakati kuwa cha siasa zenye makengo ya kushika dola sio malengo ya kumfurahisha Mariah sarungi maisha yamebadilika watanzania wanataka kusikia sera sio kelele na maandamano hata sehemu sio ya kushupaza shingo lakini chadema wanashupaza ndio maana kila tukio wanajikuta wale wale tu bila kuungwa mkono na wananchi...
Mbona NCCR na ACT zinafanya siasa za kujikomba so called "kujadili issues", ila nao wanalia kuibiwa kura na kuenguliwa wagombea. CCM ni wanafki sana hata ujikombe bado watakuibia tu kura maana wao sio wafuasi wa demokrasia.Ifuate ushauri wa Marehemu Lowassa chama ki-graduate kutoka harakati kuwa cha siasa zenye makengo ya kushika dola sio malengo ya kumfurahisha Mariah sarungi maisha yamebadilika watanzania wanataka kusikia sera sio kelele na maandamano hata sehemu sio ya kushupaza shingo lakini chadema wanashupaza ndio maana kila tukio wanajikuta wale wale tu bila kuungwa mkono na wananchi...
Reform haiwezi kuja kwa mtindo huo kwa wananchi wa tanzania jua kwanza sio punda ndio maana hata wakiona mtu mtaani ana silaha lazima wakatoe taarifa...Reform kwanza wananchi watasikia sera vizuri tu
Ni akina nai hao?Kuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?
Kwani hao chadema wanatembea na silaha kudai reform?Reform haiwezi kuja kwa mtindo huo kwa wananchi wa tanzania jua kwanza sio punda ndio maana hata wakiona mtu mtaani ana silaha lazima wakatoe taarifa...
Wabadili namna wana approach politics za hii nchi. Wameshaonyeshwa namna wanapigwa vita na watu ambao hata sheria hawafuati na wana double standardsKuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?
kama alivyouliza mleta mada nimesema chadema kiondoke kwenye harakati wanazo shauriwa na Mariah sarungi wajikite kwenye siasa...sijui wewe maoni yako yalikuwa yapi...Kwani hao chadema wanatembea na silaha kudai reform?
Stori za kufikirika...Mbona NCCR na ACT zinafanya siasa za kujikomba so called "kujadili issues", ila nao wanalia kuibiwa kura na kuenguliwa wagombea. CCM ni wanafki sana hata ujikombe bado watakuibia tu kura maana wao sio wafuasi wa demokrasia.
Nduguzo huwa wao wapo wapi?kama sii uonevu,utekaji,poteza ama?kama alivyouliza mleta mada nimesema chadema kiondoke kwenye harakati wanazo shauriwa na Mariah sarungi wajikite kwenye siasa...sijui wewe maoni yako yalikuwa yapi...
1. Kujijenga kiuchumi, ni muhimu sana kuwa na vyanzo vingi vya mapato. Mbowe alifeli sana eneo hili, ilipaswa kipindi tunapata ruzuku ya mabilion kwa mwaka ndio tungewekeza kwenye majengo na viwanja leo hii tusingekua hapa tulipo.Kuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?
Kwenye R4 za mama yenu wanahitaji reforms mbona simple tukama alivyouliza mleta mada nimesema chadema kiondoke kweny e harakati wanazo shauriwa na Mariah sarungi wajikite kwenye siasa...sijui wewe maoni yako yalikuwa yapi...
1. Tengenezeni mtandao makini wa wadau wa maendeleo ya chama, nje na ndani ya nchi. (Wakati wa utawala wa JK mliwahi kufanya hiki kitu) na wadau wengi mfano Mustafa Sabodo walitoa pesa nyingi kwa ajili ya ujenzi wa chama! Ila kwa bahati mbaya nyingi mlizitafuna kupitia zile oparesheni zenu zisizo na kichwa wala miguu mfano Sangara, sijui ukuta, nk.Kuna baadhi ya watu husema CHADEMA inakosea jinsi ya kufanya siasa zake. Jee ili ifanikiwe kisiasa, CHADEMA inatakiwa ifanyeje siasa zake?