zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 24,247
- 39,827
4. Achaneni na siasa za harakati maana policcm wapo kwa ajili ya kujeruhi, kuua, kutesa, kupora mali za watu, nk. Kwa kisingizio cha kuzuia maandamano na mikutano wanayoizuia pasipo na sababu za msingi. Badala yake mjikite zaidi kwenye kutoa elimu ya uraia kwa wananchi, kama wanavyofanya viongozi wenu kwenye mikutano yao ya hadhara! Yaani wananchi wanatakiwa waelimishwe kutokana na ukweli kwamba wengi wao ni wajinga kupitiliza.[/I]
[/QUOTE]
Mbona Mbowe alikua mtu wa diplomasia na alianza mpaka maridhiano ila bado wakaengua wagombea wa chadema? Au Nccr ile 2020 si walitengeneza ushirikiano na CCM kabisa wakawa wanakishambulia chadema tu ila bado wagombea wao walienguliwa.
[/QUOTE]
Mbona Mbowe alikua mtu wa diplomasia na alianza mpaka maridhiano ila bado wakaengua wagombea wa chadema? Au Nccr ile 2020 si walitengeneza ushirikiano na CCM kabisa wakawa wanakishambulia chadema tu ila bado wagombea wao walienguliwa.