Ile ndoa imesambaratika!

Sasa mwanamke ambaye kukitikea shida ndani ya nyumba,anaona ananyanyasika nakuona a-opt kuwa single mother,mimi nimzuie wanini?Awe single mother wadau wamfakamie kwa uhuru bila hofu yakuwaza kua watakuja kufumaniwa.Mfano huyo aliyetoka kwa mhadhiri,awe tayari kuchakatwa na watu mbalimbali tena kwa uhuru,kikubwa namuomba asije akaleta picha mbaya kwa watoto kwani yawezekana wakawa wanashuhudia wanaume wa kila aina wakilala na mama yao,hivyo kuathirika kisaikolojia.
 
Tumpe muda tu huyo mwanamke lazima atarud mikono nyuma.
kuna wanawake wachache wenye akili za kushikiwa tena wanakosa busara kwa wanaume wakishajiona wana elimu/ wamesoma hii inapelekea kujiona anaweza kufanya kila jambo pasipo kushirikiana na mwanaume.. Kwa lugha nyingine hao wanawake hujiona wanaume.
 
Out of point.

Watoto wa single mother Nlimaanisha watoto wa michepuko..hiyo itakayofakamiwa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Picha Nzuri ni baba kubadilisha wanawake.
 
Bazaaaaaziiiiiiii umepatwa na uchungu sana na jamaa why?? Mbona alishamkatalia mamushka tena alikuwa anatetea ndoa yenu sana huyu.
Mambo ya ndoa magumu bro! Sijui jamaa uamuzi.wake utadumu hadi lini!

Bazazi
 

Maneno ya mwanamke mwenye umri mdogo haya. Hakuna mwanamke mwenye umri wa kuanzia 40 na kuendelea (na ambae hana regular man) anaefurahia maisha labda awe frigid. Unadhani ni kwa nini kuna sugar mamas?
 
Labda tu nianze kwa sauti ndogo nikwamba hapa ngoja niongeze sauti huko nyuma wasikie n kwamba siiiiiiiiiooooiiii mpk nikikarbia zeeka natafuta wa kuzeeshana nae bas vipi huko sauti inatosha
 

Nikisoma kati ya mistani (Between the Lines) ulichoandika napata tashwishwi ya kutaka kujua hali ya ndoa yako (maelewano nyumbani : if at all you are married). Katika maandishi yako nasoma hasira, kinyongo, uchungu moyoni, tamaa ya kulipa kisasi, kukataliwa n.k

Pole sana

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…