Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,525
- 4,090
Miaka ya 80-90 tukiwa wadogo kuna uvumi kwamba kuna wanyonya damu.
Hata tukiona magari ya red Cross tunakimbia Sana.
Hawa wanyonyadamu walikuwepo kweli au ndo ile danganya toto?
Nimemkumbusha mke wangu nae kwao walikuwa na hiyo dhana....vp maeneo mengine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata tukiona magari ya red Cross tunakimbia Sana.
Hawa wanyonyadamu walikuwepo kweli au ndo ile danganya toto?
Nimemkumbusha mke wangu nae kwao walikuwa na hiyo dhana....vp maeneo mengine?
Sent using Jamii Forums mobile app