Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 7,902
- 21,334
mkuu mbona povu,we avatar yangu umeielewaje. halafu kwa nini unaniwekea kauzibe kwenye mali za mwanaume mwenzangu?Utakuwa una uwalakini wewe si bure kuanzia avatar yako hadi matendo.......kushobokea Mali za mwanaume mwenzio tena marehemu looh.tena unanena kwa msisitizo