Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote haya unayakua wewe mkuuJina lake ni kubwa lazma apate mwanamke mwenye elimu siyo hao wauzaji wenye njaa kali,mtu yuko busy kupiga picha getto ili awaonyeshe wenzie.....kweli chibu anachukua vibudu kabisa yani vimetumika haswa vingine marinda yameisha kitambo
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Watz tufanye kazi tuache kupoteza muda kuaghulika na mambo ya watu wengine kwani kuachana nako pia ni kitu cha ajabu maana ss watanzania wote tumekuwa shilawadu tunaacha kutazama maisha yetu tunaangalia maisha ya wengine tubadilike
hao tulishamalizana nao kitambo kwa kupokezanaYote haya unayakua wewe mkuu
Ha ha haa haaaaa! Mkuu! unataka kulala masikini uamke tajiri!!!mkuu mbona povu,we avatar yangu umeielewaje. halafu kwa nini unaniwekea kauzibe kwenye mali za mwanaume mwenzangu?
Usicheze na Mwanaume... Ukimwaga ugali anamwaga mboga,uyu Zari kuna kitu alichomfanya diamond,aya ni malipizi, japo Diamond anakosea sana,
ndio mkuu si unajua tena zali na zari vipo karibuHa ha haa haaaaa! Mkuu! unataka kulala masikini uamke tajiri!!!
Lisemwalo,...Usiniambie kuwa mtoto Nillan sio wa Diamond
Mimi binafsi nikupe pole dada Numbisa, I know how much you are into Zari, and you wouldn't like anything bad to happen to her, especially at this time where she has lost her two dears.
Wishing her the best. And sorry to you too.