Watz tufanye kazi tuache kupoteza muda kuaghulika na mambo ya watu wengine kwani kuachana nako pia ni kitu cha ajabu maana ss watanzania wote tumekuwa shilawadu tunaacha kutazama maisha yetu tunaangalia maisha ya wengine tubadilike
Wabongo tunasafari mdefu sana ya kisafisha funza kichwani mwetu
Wadada wanamfuata wenyewe,hela zake katafuta mwenyewe,kwanini asiwatafune tu hakuna namna lazma awatafune ....shida iliyopo anadate na wauza mpapa hawana mbele wala nyuma....atulie atafute mdada mwenye shule afunge nae ndoa
Haitusaidii sisi tunaotaka ongezeko la mishahara...
Zari naye muda mwingine kama hajielewi kwani kufuta majina kwa social media ndio inaondoa uhalisia kuwa siyo baba yao
Angejikalia kimya tu akalia chumbani weeeee huku mitandaoni anajichoresha tu
Haitusaidii sisi tunaotaka ongezeko la mishahara...
Acha movie iendelee,wapenda ubuyu tupo tunafuatiliaIla saiv inaonekana serious maana wameanza futiana picha zao kwenye accounts za insta
Hyo ya Bibi na mjukuu ndo couple matata sio? Wabongo kwa kujikomba...!!
Huu uzi upo jukwaa sahihi kabisa. Ukija jukwaa hili la celebrities tutazungumzia tu maisha yao kila jambo na wakati wake kuna wakati wa kutizama maisha yetu na wakati wa kutizama maisha ya wengine ili tujifunze kupitia makosa yao.Watz tufanye kazi tuache kupoteza muda kuaghulika na mambo ya watu wengine kwani kuachana nako pia ni kitu cha ajabu maana ss watanzania wote tumekuwa shilawadu tunaacha kutazama maisha yetu tunaangalia maisha ya wengine tubadilike
Jina lake ni kubwa lazma apate mwanamke mwenye elimu siyo hao wauzaji wenye njaa kali,mtu yuko busy kupiga picha getto ili awaonyeshe wenzie.....kweli chibu anachukua vibudu kabisa yani vimetumika haswa vingine marinda yameisha kitamboWenye shule watampelekesha kofi moja jamaa analala polisi na kesi mahakamani. Bora aendelee na hao hao wenye shule kama yake
Mkuu umenikumbusha mbali sana kipindi hicho napiga BAMInaelekea unapenda dy/dx
Watz tufanye kazi tuache kupoteza muda kuaghulika na mambo ya watu wengine kwani kuachana nako pia ni kitu cha ajabu maana ss watanzania wote tumekuwa shilawadu tunaacha kutazama maisha yetu tunaangalia maisha ya wengine tubadilike
Wabongo tunasafari mdefu sana ya kisafisha funza kichwani mwetu