PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Usipende vya bure kakangu,kuhudumia mwanamke kuna raha yake waulize wakubwa zako
Usipende vya bure kakangu,kuhudumia mwanamke kuna raha yake waulize wakubwa zako
kazi ipo kwa kweeeliTahiya ndugu wa dai ni mtoto wa dada ake dai aitwae esma yupo darasa la tano kama sijakosea. Huyu mdada mkubwa hawana undugu
Wewe ungekuwa huangalii ya watu hili andiko usinge jikunja kuliandika.Watz tufanye kazi tuache kupoteza muda kuaghulika na mambo ya watu wengine kwani kuachana nako pia ni kitu cha ajabu maana ss watanzania wote tumekuwa shilawadu tunaacha kutazama maisha yetu tunaangalia maisha ya wengine tubadilike
Kweli mrembo .maana ukifatilia yaserekali utaumizakichwa bure .bora tule ubuyu.Sasa nyie msopendezwa na udaku si muache kusoma na kukoment? Serikali.yenyewe inatutia kiwewe si bora tujilie ubuyu huku
Hiyo ongezeko la mishahara unataka, kutoka kwa zari, au diamond? Hata hivyo lipo jukwaa la hayo Mambo kule juu.Haitusaidii sisi tunaotaka ongezeko la mishahara...
Mtafute lemutuz anamajibu ya mshahara wakoHaitusaidii sisi tunaotaka ongezeko la mishahara...
Kama nikweli !!
Basi wanaume tumeumbwa mateso ,,,, ivi mwanamke kama ZARY naanzaje kuaachana naye ???????. Sema hapo Diamond ndo kaachwa Maana Zary anahitaji heshima yeye sio kwamba alikua na Diamond kipesa ,,pesa anazo.
Nihitimishe kwa kusema ,,jamaa kaachana na AK 47 kisa marungu
Yaaaan uhun auna maana ,,kuna wakati unajikuta unapoteza Dhahabu kimchezo chezo kisa tuuu machangudoa...Huu ukuni hauna shukrani huu, sasa we fikiria unaanzaje kumuacha mtoto kama Beyonce kauanika tu nyumbani we ukasake machangudoa? Sasa hayo ndio yaliyomkuta mwanaume mwenzetu Jay Z. Yaani hili rungu ni mtihani mkubwa huu. Tusamehewe tu.