davidfrance82
Member
- Feb 13, 2012
- 55
- 23
As an active blackberry smartphone user nimestushwa sana na habari kuwa Waziri Malima aliyeibiwa Hotelini Moro aliibiwa vitu pamoja na simu hizi....
1.Nokia C6--sh.500,000
2.Nokia E200--sh.250,000
3. Blackberry(??)--sh.5,500,000 (mshangao!!!!!!!)
Toka hii news toka
ilipo break I have been searching for informations everywhere, including blackberry customer forum...hakuna simu ya bei hiyo.. Either kapigwa na wajanja au ameamua kujisifia kuwa na simu ya bei kuliko zote duniani....
1.Nokia C6--sh.500,000
2.Nokia E200--sh.250,000
3. Blackberry(??)--sh.5,500,000 (mshangao!!!!!!!)
Toka hii news toka
ilipo break I have been searching for informations everywhere, including blackberry customer forum...hakuna simu ya bei hiyo.. Either kapigwa na wajanja au ameamua kujisifia kuwa na simu ya bei kuliko zote duniani....