NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima ameibiwa vitu mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh23.3milioni (Hapa yupo safarini je akiwa home) katika Hoteli ya Nashera mjini hapa.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Hamisi Seleman alisema kwamba uchunguzi wa tukio hilo lililotokea jana alfajiri unaendelea na kwamba taarifa za awali zimeeleza kuwa mtu asiyejulikana alivunja dirisha la chumba namba 125 alichokuwa amepanga Naibu Waziri huyo kisha kuingia ndani na kuiba vitu hivyo.
Vitu alivyoibiwa ni pamoja na laptop tatu, aina ya Dell zenye thamani ya Sh5.6 milioni (Laptop 3 za nini kwenye safari? za nn zote hizi,). Vinasa sauti viwili vya digitali na headphone zake zote ambavyo thamani yake ni Sh milioni moja, simu tatu (hili siwezi kuuliza kwani ndio maisha yetu bongo kwa sasa), ya kwanza Nokia C6 ya Sh500,000, Nokia E200 ya Sh250,000 na Blackberry yenye thamani ya Sh5.5 milioni,(Wadau hii ni aina gani ya blakberi, maana hata Blackbery porches sio bei hii?) alisema kamanda huyo na kuongeza:
Vitu vingine ni Pete mbili za almasi zenye thamani ya Sh2.5 milioni, Dola za Marekani 4,000 ambazo ni sawa na Sh6.5milioni,(Bora wamezichukua kwann utembee na mihela yote hii tena ya Kigeni, halafu nyie ndio mnalalamika kuwa hamjui kwann thamani ya Tsh inashuka). Fedha taslimu Sh1.5 milioni (Unatembea na hela mingi hii ya nn wkt nowaday ATM mashine kibao na kadi nyingi ni VISA), kadi mbili za benki, mabegi matatu ya nguo (alikua anahama mji nn) baraghashia mbili zenye thamani ya Sh50,000 na nyaraka mbalimbali za Serikali.
Hata hivyo, Kaimu Kamanda huyo ambaye pia ni Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Morogoro, alisema mwizi aliyeiba vitu hivyo hakuiba bastola (Fine kwa Personal defensive) na bunduki aina ya SMG (Jamaan huu mbunduki wa nn?Tanzania siku hizi kuna vita) alizokuwa nazo Naibu Waziri huyo ambazo zilikuwa sehemu ya wazi (Sheria ya utumiaji na Utunzaji wa silaha binafsi inasemaje).
Source: Mwananchi Newz Pepa
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Hamisi Seleman alisema kwamba uchunguzi wa tukio hilo lililotokea jana alfajiri unaendelea na kwamba taarifa za awali zimeeleza kuwa mtu asiyejulikana alivunja dirisha la chumba namba 125 alichokuwa amepanga Naibu Waziri huyo kisha kuingia ndani na kuiba vitu hivyo.
Vitu alivyoibiwa ni pamoja na laptop tatu, aina ya Dell zenye thamani ya Sh5.6 milioni (Laptop 3 za nini kwenye safari? za nn zote hizi,). Vinasa sauti viwili vya digitali na headphone zake zote ambavyo thamani yake ni Sh milioni moja, simu tatu (hili siwezi kuuliza kwani ndio maisha yetu bongo kwa sasa), ya kwanza Nokia C6 ya Sh500,000, Nokia E200 ya Sh250,000 na Blackberry yenye thamani ya Sh5.5 milioni,(Wadau hii ni aina gani ya blakberi, maana hata Blackbery porches sio bei hii?) alisema kamanda huyo na kuongeza:
Vitu vingine ni Pete mbili za almasi zenye thamani ya Sh2.5 milioni, Dola za Marekani 4,000 ambazo ni sawa na Sh6.5milioni,(Bora wamezichukua kwann utembee na mihela yote hii tena ya Kigeni, halafu nyie ndio mnalalamika kuwa hamjui kwann thamani ya Tsh inashuka). Fedha taslimu Sh1.5 milioni (Unatembea na hela mingi hii ya nn wkt nowaday ATM mashine kibao na kadi nyingi ni VISA), kadi mbili za benki, mabegi matatu ya nguo (alikua anahama mji nn) baraghashia mbili zenye thamani ya Sh50,000 na nyaraka mbalimbali za Serikali.
Hata hivyo, Kaimu Kamanda huyo ambaye pia ni Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Morogoro, alisema mwizi aliyeiba vitu hivyo hakuiba bastola (Fine kwa Personal defensive) na bunduki aina ya SMG (Jamaan huu mbunduki wa nn?Tanzania siku hizi kuna vita) alizokuwa nazo Naibu Waziri huyo ambazo zilikuwa sehemu ya wazi (Sheria ya utumiaji na Utunzaji wa silaha binafsi inasemaje).
Source: Mwananchi Newz Pepa