live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 792
- 1,266
Nimetafakali sana hi kitu sijui Kwa Nini ilikuwa hivi Yani wote walio taka kugombea uraisi kupitia tiketi ya ccm mwaka 2015 ilikuwa hakuna namna lazima tupate Raisi ambaye angefia madarakani
Angepita Membe angefia madarakani
Angepita Lowasa angefia madarakani
Alipita Magufuli ndio hivyo amefia madarakani
Hata tungemchagua yule mama wa ACT wazalendo pia angefia madarakani
Yani 2015 ilikuwa hakuna namna lazima Tanzania tupate Raisi wa kufia madarakani
Angepita Membe angefia madarakani
Angepita Lowasa angefia madarakani
Alipita Magufuli ndio hivyo amefia madarakani
Hata tungemchagua yule mama wa ACT wazalendo pia angefia madarakani
Yani 2015 ilikuwa hakuna namna lazima Tanzania tupate Raisi wa kufia madarakani