Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Ilani ya CHADEMA imekaa vizuri.
kamanda kweli chadema wanaona mbali kuliko chama chochote kile hapa afrika chadema ipo juuu kwa sana
tuwape basi kula zetu wafanye mabadiliko ..
Mie nimechoshwa na siasa za nchi hii
Ilani inaandikwa na wanazuoni kwa malipo maalum hatimaye kuriziwa na chama..hivyo kwa vyovyote "itakuwa nzuri sana" kwasababu wasomi wameandaa (profesionals)
Ilani nzuri chini ya viongozi wabovu (Mbowe na Slaa) wabinafsi na wasio na uwezo wa kuongoza na kuhamasisha wananchi ni sawa na kitabu kizuri kwa watu wasiojua kusoma...
Sioni na kama kwa aina ya viongozi waliopo huko chadema kutakuwa na kipya sana sana ni club tu ya networking..poleni sana
Haya kwa wale ambao hatuifahamu ilani ya CHADEMA ya 2005 nimeona ni vema nikawaletea ilani hii ya Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge,Wawakilishi na Madiwani ili tuichambue, kuijadili na kuikosoa.
Asante sana.. ngoja tuipitie .. ila huu mwaka mmoja tu uliobaki.. wanatarajia kuwa na ilani hiyo hiyo mwaka huu maana hawakutekeleza ilani yao ya 2005 (kwa sababu hawakushika serikali).. so sidhani kama tunaweza kuwapima.
Asante sana.. ngoja tuipitie .. ila huu mwaka mmoja tu uliobaki.. wanatarajia kuwa na ilani hiyo hiyo mwaka huu maana hawakutekeleza ilani yao ya 2005 (kwa sababu hawakushika serikali).. so sidhani kama tunaweza kuwapima.
Ilani inaandikwa na wanazuoni kwa malipo maalum hatimaye kuriziwa na chama..hivyo kwa vyovyote "itakuwa nzuri sana" kwasababu wasomi wameandaa (profesionals)
Ilani nzuri chini ya viongozi wabovu (Mbowe na Slaa) wabinafsi na wasio na uwezo wa kuongoza na kuhamasisha wananchi ni sawa na kitabu kizuri kwa watu wasiojua kusoma...
Sioni na kama kwa aina ya viongozi waliopo huko chadema kutakuwa na kipya sana sana ni club tu ya networking..poleni sana