johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Watu wengi hawalielewi na walimshangaa sana Magufuli alivyokuwa akitekeleza Ilani ya CHADEMA na ile ya ACT Wazalendo badala ya CCM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge na Madiwani wakishachaguliwa wanakuwa Watumishi wa Umma siyo Chama, kwasababu wanachaguliwa na Wananchi wote siyo Wanachama wa Vyama vyao pekee.
Chama ni mdhamini tu na kimsingi hii kanuni inapataga nguvu kwa vile hatuna sheria ya Mgombea Binafsi.
Nawakumbusha Viongozi wote wa kuchaguliwa Maono na Ubunifu wao ndio vitawafanya wachagulike 2025 hivi vyama vimeshapitwa na nyakati.
Ahsanteni sana 😄
Mtanishukuru 2026 panapo Uzima!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wabunge na Madiwani wakishachaguliwa wanakuwa Watumishi wa Umma siyo Chama, kwasababu wanachaguliwa na Wananchi wote siyo Wanachama wa Vyama vyao pekee.
Chama ni mdhamini tu na kimsingi hii kanuni inapataga nguvu kwa vile hatuna sheria ya Mgombea Binafsi.
Nawakumbusha Viongozi wote wa kuchaguliwa Maono na Ubunifu wao ndio vitawafanya wachagulike 2025 hivi vyama vimeshapitwa na nyakati.
Ahsanteni sana 😄
Mtanishukuru 2026 panapo Uzima!