Unataka mlolongo wote wa jinsi ya kufanya practically wauandike kwenye ilani ya uchaguzi, kweli? Hiyo ilani si itakuwa kam bible kama unataka waweke na michoro kabisa. Ilani ni outline, utekelezaji wake ni another document na huwezi kukuta kwenye ilani. And right, ilani ni wishful thinking, kwamba tunakusudia kufanya hivi na vile etc. Hata ccm wanasema watajenga uwanja wa kimataifa Kigoma, sasa ulitaka wasema kuwa hata KLM, Emirates wamekubali kutua kigoma? Unless mimi sielewi mana ya international airport, ina maana KLM, KQ etc zitakuwa zinatua Kigoma, na kutakuwa na custom clearence etc,lol