Hakimi katufumbua macho 😅😅🤣🤣Hakimi katuweza aisee🤗
Kwanini sasa To yeye ?Nimechukia kweli yaan
Pole sana kwa maswaibu unayopitia RELAX wanaume wa kweli tupo tunatoa na hatudai .😂😂😂Hivi inakuwaje mpenzi wako anakupa ela tena 10k na anakudai? As if ulimwambia akuazime?!!!.
Na manene juu ya karahakweli tukuwetuyaone Nyie ,mtutunze tu msipate makasiriko.
🥰🥰🥰Daaah, TeAmo 🤭Kususa kubaya, unaweza pishana na gari ya mshahara
View attachment 2589156
Sana Role model wa ma hustlerHakimi katufumbua macho 😅😅
Pole sana
🤣🤣🤣🤣🤣We jamaa kauzu daaMbona pole tena kama anadaiwa si alipe 😂
🤣🤣🤣Yaan mweeHakimi katufumbua macho 😅😅
Njia aliyoitumia ndo mbaya. Na alitaka kutumia kuzaa kwake naye kuwe mtaji..!!Manzi kazaa yule jaman....labda kama atamlea mtoto
Wananitafutaga ivoivo...hutokuwa wa kwanzaNjia aliyoitumia ndo mbaya. Na alitaka kutumia kuzaa kwake naye kuwe mtaji..!!
By the way, Uyole wazima? Nikiingia pale Mfikemo ntakutafuta tu..!!
Tumempa cheo cha uenyekiti katika vikao vyetu vya wanaume🤣🤣Hakimi katuweza aisee🤗
Wanakupata..!?Wananitafutaga ivoivo...hutokuwa wa kwanza
Na ametuwakilisha vyema kwenye level za duniaHakimi katufumbua macho 😅😅