Ila wanaume….!

Ila wanaume….!

Hivi inakuwaje mpenzi wako anakupa ela tena 10k na anakudai? As if ulimwambia akuazime?!!!.

Na manene juu ya karaha kweli tukuwetuyaone Nyie ,mtutunze tu msipate makasiriko.
Pole sana kwa maswaibu unayopitia RELAX wanaume wa kweli tupo tunatoa na hatudai .😂😂😂
 
Sema nini we malizana nae tu sisi tukisema hapa tutasema mengi sana na mengine yakawa sio kweli😅
 
😂😂😂 babe nikopeshe alfu kumi ninunue vocha nimesahau wallet home

Boy: Vipi buku teni langu
Mleta mada: Jamaaaaniii elf 10 unadai kama milioni na naenda kukutangaza jf

Haya umerudhika kunidhalilisha 🚶🚶🚶
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom