Ila madalali watu wabaya sana! Kuwa makini sana unaponunua vitu ukiwatumia madalali

Ila madalali watu wabaya sana! Kuwa makini sana unaponunua vitu ukiwatumia madalali

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,861
Madalali ni watu wabaya sana.
madalali hawana UTU kabisa.

......

Usipokuwa makini Dalali anaweza kukuuzia kitu cha laki 1 kwa shilingi laki 3
....
Screenshot_20250627-110308.jpg
Screenshot_20250626-211227.jpg
 
Madalali ni watu wabaya sana.
madalali hawana UTU kabisa.

......

Usipokuwa makini Dalali anaweza kukuuzia kitu cha laki 1 kwa shilingi laki 3
....
View attachment 3385554View attachment 3385555
Madalali si watu wazuri. Wakati naanza kujitegemea kwa mara ya kwanza nilivyokuwa kichwa panzi nikamtafuta dalali anitafutie chumba sebule jiko. Basi akanicheki imepatikana twende. Tukaenda hadi hiyo sehemu nikaiona, yani huwezi amini nilikuwa naona kabisa ni mabondeni sijui alikuwa kaaniroga yule.
Mimi nikasema nimepapenda bei, gani? Nikaambia laki na nusu, nikasema sawa hapo dalali ashaniambia anakula pesa ya mwezi. Nikaletewa mwenye nyumba, nikamwambia nalipa kodi ya mwaka mzima. Dalali kusikia hivyo, akaninong'oneza, ukilipa kodi ya mwaka mzima inabidi unipe kodi ya miezi miwili.
Na mimi nilivyokuwa fala nikampa laki tatu nzima haki.
Kesho yake narudi sasa, najiuliza mimi ndiye nimelipia mwaka huku jamani.... mbona hapafai.
 
Mwaka jana nilienda Lumumba kuweka tint gari. Kuna jamaa yangu ni dalali nikawa namtania apige picha gari naiuza milioni 10, ilikuwa IST. Jamaa alikuwa anajua namtania kwahiyo hakutilia maanani tukaendelea na story zetu.

Baada kama ya siku 2 na scroll Facebook Market place nakuta picha ya gari yangu imepostiwa inauzwa Milioni 14. Picha ni za pale Lumumba.

Nikampigia jamaa yangu wa Lumumba simu kumwambia kuwa nilikuwa namtania, akasema mbona yeye hakupiga picha wala kupost gari.

Kupiga namba iliyowekwa kwenye tangazo jamaa kadai gari atakuwa nayo kesho yake nimtafute, asubuhi kumpigia akanambia tukutane Ilala, nikaenda na Boda hadi ilala kwa dalali mwingine ambae akapiga simu tena kwa jamaa tuliokuja kugundua yupo Lumumba. Tukaenda watu 3 sasa Lumumba kwa kutumia Bajaj.

Kufika kwa jamaa wa Lumumba ikiwa nipo kwenye bajaj nikasikia na yeye anamuita yule jamaa yangu kumuuliza kuhusu ile IST iliyokuja jana yake ikasemekana inauzwa, kuwa ana mteja wa milioni 9 cash (kumbuka imepostiwa Mil. 14). Jamaa akamwambia ilikuwa ni utani tu na nani alimruhusu kutangaza biashara, jamaa likabaki linang'aa macho.

Kupitia mtu mmoja tu kusikia kwamba nauza gari bila hata kuuliza akaamua kupiga picha gari na kuipost bila hata kumjua mmiliki.

Dalali ni mithili ya majambazi yasiyokuwa na huruma maana wana uwezo wa kumzunguka mwenye mali, mteja mpaka wao wenyewe.
 
Madalali si watu wazuri. Wakati naanza kujitegemea kwa mara ya kwanza nilivyokuwa kichwa panzi nikamtafuta dalali anitafutie chumba sebule jiko. Basi akanicheki imepatikana twende. Tukaenda hadi hiyo sehemu nikaiona, yani huwezi amini nilikuwa naona kabisa ni mabondeni sijui alikuwa kaaniroga yule.
Mimi nikasema nimepapenda bei, gani? Nikaambia laki na nusu, nikasema sawa hapo dalali ashaniambia anakula pesa ya mwezi. Nikaletewa mwenye nyumba, nikamwambia nalipa kodi ya mwaka mzima. Dalali kusikia hivyo, akaninong'oneza, ukilipa kodi ya mwaka mzima inabidi unipe kodi ya miezi miwili.
Na mimi nilivyokuwa fala nikampa laki tatu nzima haki.
Kesho yake narudi sasa, najiuliza mimi ndiye nimelipia mwaka huku jamani.... mbona hapafai.
Wengi wao ni washirikina mno.

Huwa wanadiriki hata kwenda kwa mganga kufarakanisha ndugu ikiwa kuna sehemu ina mteja na baadhi ya ndugu hawataki kuuza.
 
Mwaka jana nilienda Lumumba kuweka tint gari. Kuna jamaa yangu ni dalali nikawa namtania apige picha gari naiuza milioni 10, ilikuwa IST. Jamaa alikuwa anajua namtania kwahiyo hakutilia maanani tukaendelea na story zetu.

Baada kama ya siku 2 na scroll Facebook Market place nakuta picha ya gari yangu imepostiwa inauzwa Milioni 14. Picha ni za pale Lumumba.

Nikampigia jamaa yangu wa Lumumba simu kumwambia kuwa nilikuwa namtania, akasema mbona yeye hakupiga picha wala kupost gari.

Kupiga namba iliyowekwa kwenye tangazo jamaa kadai gari atakuwa nayo kesho yake nimtafute, asubuhi kumpigia akanambia tukutane Ilala, nikaenda na Boda hadi ilala kwa dalali mwingine ambae akapiga simu tena kwa jamaa tuliokuja kugundua yupo Lumumba. Tukaenda watu 3 sasa Lumumba kwa kutumia Bajaj.

Kufika kwa jamaa wa Lumumba ikiwa nipo kwenye bajaj nikasikia na yeye anamuita yule jamaa yangu kumuuliza kuhusu ile IST iliyokuja jana yake ikasemekana inauzwa, kuwa ana mteja wa milioni 9 cash (kumbuka imepostiwa Mil. 14). Jamaa akamwambia ilikuwa ni utani tu na nani alimruhusu kutangaza biashara, jamaa likabaki linang'aa macho.

Kupitia mtu mmoja tu kusikia kwamba nauza gari bila hata kuuliza akaamua kupiga picha gari na kuipost bila hata kumjua mmiliki.

Dalali ni mithili ya majambazi yasiyokuwa na huruma maana wana uwezo wa kumzunguka mwenye mali, mteja mpaka wao wenyewe.
Likija swala la madalali wa magari ogopa mno sehemu 3 dar; Sinza, Amana Ilala na Lumumba.

Huko kuna matapeli waliokubuhu.
 
Imefika hatua nimebaki kuwaita ndugu zangu tu maan corolla yangu haupiti mwezi haijapostiwa kwenye magroup ya whattsap ya mkoa wa mbeya mpaka uwa nabaki kucheka mara wanaiuza milioni moja mara laki tisa yaani full purukishani .

Gari inayonitoa mbeya mpaka iringa wameidharau mpaka kutaka kuiuza laki tisa wanasahau ina mpaka jina binafsi la ukoo wangu 🤔

Madalali sio watu ni mizimu ile
 
Back
Top Bottom