Ila kuna wanawake wamekubuhu

Ila kuna wanawake wamekubuhu

Umesha sema una mgharamia, means wee n provider wake, una uhalali kufanya hivyo, vinginevyo ni kashesheee.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hiyo ndiyo principal yangu, huwa naprovide ili kuwa na uhalali wa kumtembelea muda wowote ninao hitaji.

Japo mabinti wa miaka hii wasivyo na adabu, hawachelewi kukuitia mwizi akiona amegonganisha Mabwana

Ndiyo maana kujihami natembea na manati ya Mzungu 😜
 
Huyo binti inaonekana ni hulka yake kufanya huo uhuni.

I once dated binti fulani mwaka 47, principal yangu ilikuwa kutokutabirika siku ya kumtembelea.

Naweza kwenda Kwa wiki mara tatu ama mara nne.

Naweza kwenda saa 10 Jioni, saa 5 usiku ama saa 12 asubuhi

Kwa mpenzi ambaye unamgharamia kama hivyo, ukiona haeleweki bora kumtema. Ukijidai kichwa ngumu utakuja kuungwa kwenye Grid ya Taifa
Asee wewe ulikuwa makini sn, kwa utaratibu huo kama angekuwa muoshaji rungu za wana lazima ungemkamata
 
Asee wewe ulikuwa makini sn, kwa utaratibu huo kama angekuwa muoshaji rungu za wana lazima ungemkamata
Hakika Mkuu, ukipata anayejielewa lazima ataamua kuheshimu hela unayowekeza kwake

Imagine una clear kuanzia Kodi,gesi hadi hela ya kula

Siku ukimdaka anakucheat hapo hapo unaachana naye

Huwezi kufuga kunguru badala ya Kuku
 
Umechana page, mbona ulipomla hujaweka mkuu 😹😹
Kiukweli kwa zile milio alikuwa ananinyoosha ila foleni ilokuwa inaingia mule hata angenipa kicha cha chini japo hakinaga akili ila naamini kisingesimama asee, ni kinyaa. Labda uwe hujui ila unashuhudia kabisa matukio naww ujichanganye kwenye kikao cha Wanaume ningepigwa faini kubwa sana
 
Back
Top Bottom