Ila kuachwa

Waganga wangu sio matapeli, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Matapeli, ingekua sio matapeli wangemrudisha shem KING MAVOUCHER ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Aliye cheat nae ni low classic kuliko main chibaba.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น kabisaaaa
Yani angekutana na wakali wa hizo kazi hata muda wa kuandika uzi asingepata..!!

Tumpe pole na hongera ya kuongeza experienceโ€ฆ ๐Ÿ˜น
 
Unamuheshimu au ulitaka kujiweka ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Waungwana mbona jirani yangu leejay hanaga tatizo yanazungumzika hayo ๐Ÿคฃ
 
Ndo nikauliza, huyo type yako utampata baada ya kugawa K kwa wanaume wangapi? Naona swali likakimbiwa ๐Ÿ˜‚
Mpaka atakapopatikana, idadi itajijaza hapo atakapotokea ze spesho wani ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Kumbe akiwa hajakizi vigezo alafu kikabuma inawaumaga sana?

Mkinga mwenzako nilimchangamsha vizuri ad akakolea alafu ghafla nimempotezea. Tukikutana road ananiwakia balaa
Wee nae liongo liongo lol! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wewe si ulisema mkinga hujamla?

Sema wakinga unatuelewa ni vile hatukuzingatiii ๐Ÿ˜น
 
Kwa vile hauna emoji za kulialia au sio?,.

Ni wiki imepita sikua hata na mood ya kuandika andika

Sio tu emoj za kulia lia,ulivyoandika tu ni kama unasound not guilty wala huumii

Umeandika hivi mixer vi-emoj vya sarakasi na msonyo juu

"Sio Tu kuachwa ni kudhalilikaaa,. Hakii nimevuliwa nguo๐Ÿคธ๐Ÿคธ,.
Pombe hazileweshi sijui nijaribu bangi

(Ok nilicheat ndiomaana nimeachwa),. Sa ningefanyaje Mxiiewww"

Lakini pole
 
Na wanaume wakoje? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Kwa mwanaume hy n nature, Kwenye body count usijifananishe na mwanaume ndo mana video za ngono zikivuja anayeonekana malaya n Mwanamke na sio mwanaume
 
Kwa mwanaume hy n nature, Kwenye body count usijifananishe na mwanaume ndo mana video za ngono zikivuja anayeonekana malaya n Mwanamke na sio mwanaume
Kwahiyo zile chats za lokole na Suti bega nani kaonekana malaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ