Yawezekana kuhudumiwa ndiko kunakowang'arishaMkuu umenena vyema maana mda si mrefu APA nimekutana na mke wa MTU mweupee anang'aa mzr balaa, mi nikajua demu tu wa mtaa ile kuangalia vzr daaah kumbe ni dem wa mshikaji mmoja ivi wana duka lao APA mtaani.
Ulipie Tangazo 😎Naunga mkono hoja
Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu
Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Gharama ya tangazo ni kama sh ngapi?Ulipie Tangazo 😎
Matunzo yana enhance beauty bwanaKaka mwanamke kama ni mzuri ni mzuri tu hata akikosa matunzo
Utaolewa tu, kitu kimoja tu, angalia tabia za maslay queen na kuziepuka, ni tabia zinazokimbiza wanaume Sana, pili ukikutana na mwanaume anayeonyesha ana maono ya Maisha, ukionyesha support kwake kama hajaoa na Hana mchumba huyo hatabanduka kwako. Wanaume wanapenda Sana wanawake wanao support na kushape maono yao.Naunga mkono hoja
Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu
Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Mkuu weka wazi bandiko lako.Najua nnalotaka kulizungumza lawezekana lisiwe na maana yoyote kwa baadhi yenu ila acha tu niseme.
Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?
"Wake za watu wazuri jamani".
Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.
Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.
Niwatakie jioni njema.