Ila huu ukweli lazima usemwe

Ila huu ukweli lazima usemwe

Naunga mkono hoja

Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu

Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Hebu ntumie picha na mimi nihakikishe
 
Naunga mkono hoja

Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu

Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Natafta mwanamke alieshindikana I think time match
 
Naunga mkono hoja

Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu

Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
HE!! ...
 
Nilichogundua watu wengi linapokuja suala la kuoa au kuolewa wanataka "perfect match" kitu ambacho ni kigumu sana kutokea , Hii ya kutaka kupata mtu mtakaye-endana kila kitu inaweza kukuchukua hata miaka 50, Kumbuka duniani tupo kwa muda.

Na kila siku inavokucha unazeeka, Expire date yako ikifika wala hutajua, mwisho wa siku ndo ile "Mi nataka yeyote anayepumua"
 
Najua nnalotaka kulizungumza lawezekana lisiwe na maana yoyote kwa baadhi yenu ila acha tu niseme.

Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?

"Wake za watu wazuri jamani".

Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.

Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.

Niwatakie jioni njema.
Nimeshawai kushuhudia jamaa anaoa mke m'bovu bovu lakini baada ya kama mwaka iivi yule mwanamke alibadilika akawa mzuri balaa.. Ni tunavowatunza tu wakiwa wenyewe hawawezi kujitunza hawa
 
Wee usijali mwisho wa mwaka nakuja kujitambulisha...mwanzoni mwaka kesho bonge la shehere yaani pale uwanjanwa taifa tunawaalika wana jf wote. Sie tutaingia na choper yetu
🤣🤣🤣🤣Ndiyo Ndiyo future husband
 
Najua nnalotaka kulizungumza lawezekana lisiwe na maana yoyote kwa baadhi yenu ila acha tu niseme.

Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?

"Wake za watu wazuri jamani".

Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.

Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.

Niwatakie jioni njema.
Mkuu umenena vyema maana mda si mrefu APA nimekutana na mke wa MTU mweupee anang'aa mzr balaa, mi nikajua demu tu wa mtaa ile kuangalia vzr daaah kumbe ni dem wa mshikaji mmoja ivi wana duka lao APA mtaani.
 
Naunga mkono hoja

Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu

Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Utaolewa tu. Kuna mtu atakupenda na kukibali mapungufu yako.
 
Kwa iyo Unaungana Moja kwa moja na Wale Jamaa sijui Wanaitwaje Waliimba

'Wanawake Wazuri Wazuri Wameolewa ...Yamebaki Mandungaemba Yanaangaika'
Kwa kiasi fulani naweza kusema nakubaliana nae kutokana na uzuri wa wanawake wengi walioolewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom