Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Asante kwa kutupongeza kwa kutunza wake zetu
Safi sana inaonesha kabisa kuwa mechi zako na hubby zinaishaga BTTS 🤣🤣🤣🤣Utamu naupata on time
🚶🚶🚶Wee usijali mwisho wa mwaka nakuja kujitambulisha...mwanzoni mwaka kesho bonge la shehere yaani pale uwanjanwa taifa tunawaalika wana jf wote. Sie tutaingia na choper yetu
BTTS na tunatoaga over 5.5 kama Manchester City 😊Safi sana inaonesha kabisa kuwa mechi zako na hubby zinaishaga BTTS 🤣🤣🤣🤣
Kha ova 5.5 hii sii balaaa jamani utamkondesha shemeji yetu bwanaBTTS na tunatoaga over 5.5 kama Manchester City 😊
Hebu ntumie picha na mimi nihakikisheNaunga mkono hoja
Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu
Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Natafta mwanamke alieshindikana I think time matchNaunga mkono hoja
Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu
Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
HE!! ...Naunga mkono hoja
Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu
Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Napingaje la mama na ndio kitu umetuambjaMsipinge aseee

Nimeshawai kushuhudia jamaa anaoa mke m'bovu bovu lakini baada ya kama mwaka iivi yule mwanamke alibadilika akawa mzuri balaa.. Ni tunavowatunza tu wakiwa wenyewe hawawezi kujitunza hawaNajua nnalotaka kulizungumza lawezekana lisiwe na maana yoyote kwa baadhi yenu ila acha tu niseme.
Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?
"Wake za watu wazuri jamani".
Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.
Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.
Niwatakie jioni njema.
🤣🤣🤣🤣Ndiyo Ndiyo future husbandWee usijali mwisho wa mwaka nakuja kujitambulisha...mwanzoni mwaka kesho bonge la shehere yaani pale uwanjanwa taifa tunawaalika wana jf wote. Sie tutaingia na choper yetu
Mkuu umenena vyema maana mda si mrefu APA nimekutana na mke wa MTU mweupee anang'aa mzr balaa, mi nikajua demu tu wa mtaa ile kuangalia vzr daaah kumbe ni dem wa mshikaji mmoja ivi wana duka lao APA mtaani.Najua nnalotaka kulizungumza lawezekana lisiwe na maana yoyote kwa baadhi yenu ila acha tu niseme.
Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?
"Wake za watu wazuri jamani".
Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.
Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.
Niwatakie jioni njema.
Huu wimbo mbona huwa haupigwi, wakati una ujumbe mzuri?Kwa iyo Unaungana Moja kwa moja na Wale Jamaa sijui Wanaitwaje Waliimba
'Wanawake Wazuri Wazuri Wameolewa ...Yamebaki Mandungaemba Yanaangaika'
Utaolewa tu. Kuna mtu atakupenda na kukibali mapungufu yako.Naunga mkono hoja
Wanaume waliooa wake zao wazuri aseee manake nikijiangaliaga mimi ambaye sijaolewa tabia zangu na walioolewa ni kama ardhi na mbingu
Kuna muda nikijiangalia najiuliza hivi nitaolewa kweli?
Wee unataka kunipeperushia ndege wangu