Mr_S
Senior Member
- Apr 2, 2022
- 108
- 89
Najua nnalotaka kulizungumza lawezekana lisiwe na maana yoyote kwa baadhi yenu ila acha tu niseme.
Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?
"Wake za watu wazuri jamani".
Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.
Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.
Niwatakie jioni njema.
Kwanza niwapongeze wanaume wenzangu woote hasa waliooa. Katika jambo ambalo hamjatuangusha wanaume wenzenu ni katika kuchagua wake. Kwanini ?
"Wake za watu wazuri jamani".
Nimefahamiana na wanawake wengi, na wake za watu wakiwemo, sijawahi kuona mke wa mtu mbaya, wake za watu wote nnaowafahamu wazuri, tena wengine kila idara wako safi.
Msinielewe vibaya, sina nia ya kulala na wake za watu na sijawahi kufanya hivyo ila tu nilichogundua, linapokuja suala la kuoa; wanaume huwa tunajua kuchagua vitu vizuri kwa kweli.
Niwatakie jioni njema.
