Mabomu ya machozi na vifo tayari vimetokea huko Ikwiriri na chanzo ni mapigano ya wakulima na wafugaji.
Wakulima wameshambulia vituo vya polisi badala ya kuendelea kupigana na wafugaji,kwa nini?
Jawabu n wazi kuwa wafugaji wana ukwasi mkubwa kuliko wakulima na kwa mfumo wa rushwa uliopo mara nyingi wanalindwa na vyombo vya dola.Kesi ya mkulima na mfugaji ni mtaji kwa askari polisi na mahakimu,niliandika na bado naandika.
Wakulima wameshambulia vituo vya polisi badala ya kuendelea kupigana na wafugaji,kwa nini?
Jawabu n wazi kuwa wafugaji wana ukwasi mkubwa kuliko wakulima na kwa mfumo wa rushwa uliopo mara nyingi wanalindwa na vyombo vya dola.Kesi ya mkulima na mfugaji ni mtaji kwa askari polisi na mahakimu,niliandika na bado naandika.