mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,835
IKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.