Nduli JPM aliweka mazingira ya kuonekana ye ni immortal na wazalendo wengi waluikua wanasubiri nduli,jitu katili life.......Mwinyi ameishi maisha yake vyema,hata akifariki hamna lawama kutoka,......rest in peace Azory GwandaHaya makanusho yamenikumbusha siku ile Kassim akiwa msikitini akatumia nguvu nyingi sana kusema John yu mzima na amezungukwa na mafaili ya kutosha!
Cheo cha mwisho kushika mzee Mwinyi ni Rais wa JMT, kwanini hii habari isikanushwe na Idara ya Habari na mawasiliano ya JMT?IKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.
View attachment 1813862
Wapi wameandika ofisi ya mwisho mtu aliyehudumu ndio taarifa yake yeyote itoke?............by the way viva JPM,hongera kwa kuipeleka nchi uchumi wa katiCheo cha mwisho kushika mzee Mwinyi ni Rais wa JMT, kwanini hii habari isikanushwe na Idara ya Habari na mawasiliano ya JMT?
Protocol has not been observed!!IKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.
View attachment 1813862
Tuoneshe hio document yeye hizo protocals....ili wazalendo tujiridhisheProtocol has not been observed!!
Ilitakiwa akanushe mwanafamilia kutoka familia ya Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi au Ikulu ya JMT na Sio Ikulu Zanzibar.
La sivyo, tunamtakia maisha marefu Rais wetu mstafu.
Asante!!
Huwa hawataki kuwa wa kweliHata mwendazake Mlikanusha.. Kikubwa kuliko yote ni yeye kujitokeza basi.
Labda wana CCMKwani kuna aliyeandikiwa Kuishi Milele?
Utapatiwa soon!!Tuoneshe hio document yeye hizo protocals....ili wazalendo tujiridhishe
....halafu ni protocol na Sio protocal!!Tuoneshe hio document yeye hizo protocals....ili wazalendo tujiridhishe
Enhe Tuoneshe sasa document yake?,zilipoandikwa....halafu ni protocol na Sio protocal!!
NasubiriUtapatiwa soon!!
Yule ndugu yake Ray C ( Rehema Chalamila) wale wabena wanapenda ulabu😃😃😃Pombe tamu nyie nipo naichalamila hapa ahahahah
...💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽....Hata mwendazake Mlikanusha.. Kikubwa kuliko yote ni yeye kujitokeza basi.
Kama kafa hakuna haja ya kuficha kitu.. Ni umri sahihi wa kupumzikaIKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.
View attachment 1813862
Hivi ni Nani alimpigiaga Chalamila simu, kwamba mzee ni mzima wa afya?!Au Albert Chalamila jamaa waongo sana hawa 😃😃😃😃😃
Atakuwa alilewa tu akaamka na hangover akajikuta amebwatuka mtu mwenyewe mnamuona alivyo ni kama mshereheshaji tu. He is such a clown.Hivi ni Nani alimpigiaga Chalamila simu, kwamba mzee ni mzima wa afya?!