Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,890
- 54,098
Tanzania Wajinga Ni WengiHata mwendazake Mlikanusha.. Kikubwa kuliko yote ni yeye kujitokeza basi.
Angetoka Alipo Bila Shaka Mjadala Ungefungwa
Wanarudia Makosa Yale Yale
Tanzania Wajinga Ni WengiHata mwendazake Mlikanusha.. Kikubwa kuliko yote ni yeye kujitokeza basi.
Ukitaka kujua watu wana nini mioyoni basi waache waongee.Kuna mpuuzi mmoja youtube ndio alivumisha jana.
Magufuli alifungia online TV baadhi kwa ujinga na utoto kama huu.
Tunamshukuru "mama" katuondolea huyu mwehu, na kuwapelekea wazee wa ule mji wa miamba wapambane naye.Achana na katelephone, unakumbuka yule mwehu kutoka mitaa ya soko matola mbeya??
Ukisema Rais mstaafu kafariki halafu ikawa ni habari ya uzushi wewe uliyeisambaza unaweza kushtakiwa.Ukitaka kujua watu wana nini mioyoni basi waache waongee.
Ukitaka usijue wanyamazishe.
Mtu ukikwaza na matangazo ya chombo cha habari - kiburuze mahakamani kikulipe.
Mzee wa miaka 96 ajitokeze kisa tu mtu fulani kasambaza uongo youtube!!.Si ajitokeze hata atoe mhadhara msikitini?
Ukisema Rais mstaafu kafariki halafu ikawa ni habari ya uzushi wewe uliyeisambaza unaweza kushtakiwa.
Uhuru wa habari ni muhimu lakini weledi ndani ya sekta nzima ya habari ndio utakayoipatia heshima siku zote.
Haswa kwa hawa watoto waliozaliwa miaka hii ya Kikwete na Magufuli yaani dunia yao ni mtandaoni.Mkuu, 'Google na Youtube' imeleta matundu kwny Ubongo wa baadhi ya watu.
Wametawaliwa na uongo uongo tu!Haya makanusho yamenikumbusha siku ile Kassim akiwa msikitini akatumia nguvu nyingi sana kusema John yu mzima na amezungukwa na mafaili ya kutosha!
Pamoja sana mkuuTunamshukuru "mama" katuondolea huyu mwehu, na kuwapelekea wazee wa ule mji wa miamba wapambane naye.
Majaliwa Naye alisema JPM ni mzima anachapa kazi zake, moto unawashwa Moshi utaonekana tu.IKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.
View attachment 1813862
Sijaambulia kitu! Umeandika lugha gani?Naweza kusema kwa jina la Mola wa JMT, ni vyema umakini wa Hayati Magufuli Raisat Samia AUANGALIE TENA. Mitandao imekithiri uongo, udanganyifu na umbea. Hii so sawa Mama Yeti. Tinakupenda, lakini u'u. Vyombo vyazidi kutukirihisha.
Kuna kitu hapo umekiweka kama mzaha ila mimi kilikuwa kinaniumiza akili tangu muda sana tangu samia ashikilie usukaniNaweza kusema kwa jina la Mola wa JMT, ni vyema umakini wa Hayati Magufuli Raisat Samia AUANGALIE TENA. Mitandao imekithiri uongo, udanganyifu na umbea. Hii so sawa Mama Yeti. Tinakupenda, lakini u'u. Vyombo vyazidi kutukirihisha.
Mzenji huyo...Sijaambulia kitu! Umeandika lugha gani?
Kirihisha - letea maudhiSijaambulia kitu! Umeandika lugha gani?
Pombe tamu nyie nipo naichalamila hapa ahahahahAu Albert Chalamila jamaa waongo sana hawa 😃😃😃😃😃
Ili atandikwe kibao auSi ajitokeze hata atoe mhadhara msikitini?