Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Walaaniwe wanaomchulia Mzee Mwinyi. Mwendazake alikuwa dikteta. Mzee Mwinyi hakuwa kuwa na chuki ya Mwendazake...
Kwa nini taarifa hii inatolewa na ikulu ya zenji wakati mwinyi alikuwa ni rais wa Jamhuri?IKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI
Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.
View attachment 1813862
Subiri Kesho msikitini, taarifa tutaipata tuuuuuNaweza kuamini kwa vile taarifa haijatolewa na PM majaliwa
Aliwaambiaje?Suku ya msiba wa jiwe babu aliwavunja mbavu sana waombolezaji! Mungu amlinde mzee wetu!
Mkuu kwani Private Ministry humwamini hata kidogo?Naweza kuamini kwa vile taarifa haijatolewa na PM majaliwa
Aah huyo hapana alooMkuu kwani Private Ministry humwamini hata kidogo?
This time atapigwa kofiSubiri Kesho msikitini, taarifa tutaipata tuuuuu
Ahahahahaha Chalamila kuna jinsi alivyo aisee!Yule ndugu yake Ray C ( Rehema Chalamila) wale wabena wanapenda ulabu😃😃😃
Amekuwa jobless 😃Ahahahahaha Chalamila kuna jinsi alivyo aisee!
Ndo ubaya wa kupata cheo through political chances, religion, tribe and regionalism. Angekuwa Civil servant ange chance in kwenye former position nakuendelea kula mshahara japo sijui kama ungeshuka kutoka hiyo 8mil.Amekuwa jobless 😃
Shukraan mkuu!Mzenji huyo...
Amesema samia aangalie umakini aliokuwa nao magu (nadhani kuhusu uhuru wa (vyombo vya habari)) maana watu wanazusha sana mambo. Pia akasema wanampenda sana samia na japo kuna wanaokarahisha
Lugha ndugu Hata Mimi, ni msemeno. Lakini wajua kwamba, baada ya Raisat kuapishwa naye akawaapisha VIONGOZI mbali mbali, ni sherehe kwao wateule; vile kuukwaa Uwaziri, ukuu wa wilaya, ukurugenzi n.k. Hawana muda hata wa kuangalia umuhimu wa Majina ya vyeo vyao na UKWELI wake.Kuna kitu hapo umekiweka kama mzaha ila mimi kilikuwa kinaniumiza akili tangu muda sana tangu samia ashikilie usukani
Maneno mengi tumetohoa kutoka kwenye kiarabu sasa vipi kwa neno rais samia tusiite raisat samia?
Kuna kitu hapo umekiweka kama mzaha ila mimi kilikuwa kinaniumiza akili tangu muda sana tangu samia ashikilie usukani
Maneno mengi tumetohoa kutoka kwenye kiarabu sasa vipi kwa neno rais samia tusiite raisat samia?