Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Hivi Ikulu mnafikiria ni kitu gani? acheni ushamba,
tunacho pinga ikulu ni kutumia adress kufanyia ufisadi kama alivyotumia Benjamin Mkapa na Mkewe, ile ni office kama office nyingine za kazi
Nyumbani kwako ukipageuza nyumba/uwanja wa sherehe kila siku panabaki na heshima tena, hebu fikiria mara sabini maana nikisema fikiria mara mbili pengine utatoka na jibu la kugeuza nyumba yako unayoishi humo humo kuwe na bar ya mipombe ya aina mbalimbali