johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Rais wa JMT Dr. Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023
Mungu ni mwema wakati wote!
Mungu ni mwema wakati wote!
Toka mama aanze kuzindua miradi,hakuna hata mradi mmoja amezindua ambao ameuanzisha yeye.Yote anayonzindua imeanzishwa na magufuli.kwa nini yeye hajaanzisha hata mradi mmoja mpya?Rais wa JMT mh Dr Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023
Mungu ni mwema wakati wote!
Weka picha tuioneRais wa JMT mh Dr Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023
Mungu ni mwema wakati wote!
Kazi kazi.Rais wa JMT mh Dr Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023
Mungu ni mwema wakati wote!
Unazinduliwa kabla ya kukamilika au baada ya kukamilika kwa mradi? Kama ni kabla ya kukamilika kwa mradi usiwe mwepesi wa kusahau miradi mingi tunaona akishuhudia utiaji wa saini lakini kama ni baada ya kukamilika tuache unafiki mradi upi mkubwa unakamilika kwa mwaka 1 au miwili maana mama yupo mwaka wa pili sasa na Kama anazindua miradi iliyoachwa na Magufuli ni sawa kabisa kwa sababu imefikisha muda sahihi wa kukamilika kwakeToka mama aanze kuzindua miradi,hakuna hata mradi mmoja amezindua ambao ameuanzisha yeye.Yote anayonzindua imeanzishwa na magufuli.kwa nini yeye hajaanzisha hata mradi mmoja mpya?
Kivipi??Serikali ya CCM inajua kucheza sana na akili za wapinzani.
Ujinga unakujaje ten hapa wewe mpumbavu?Ni siku ambayo majinga ya Chadema yatateseka tena
Anakamilisha kwanza waliyoanzisha Pamoja na Shujaa Magufuli awamu ya 5Toka mama aanze kuzindua miradi,hakuna hata mradi mmoja amezindua ambao ameuanzisha yeye.Yote anayonzindua imeanzishwa na magufuli.kwa nini yeye hajaanzisha hata mradi mmoja mpya?
Sema wastaafu ambao hela zao zilichotwa ili kujengea hiyo ikulu mpaka kikazaliwa kikokotoo!!Ni siku ambayo majinga ya Chadema yatateseka tena
Ya Shujaa au ya Ikulu?Weka picha tuione
Unataka aanzishe Mradi upi kwa mfano??kwa nini yeye hajaanzisha hata mradi mmoja mpya?
Ya kwako!!Ya Shujaa au ya Ikulu?
Ilikuwa imekamilika ndio sababu walihamiaHivi siku anafaraki hiyo Ikulu ilikuwa imekamilika??
Tanzania hatujawahi kuwa na shujaa mwanasiasaYa Shujaa au ya Ikulu?
Ni lile lile la DSM wamekopi kila kitu, hakukuwa na design nyingine au dikteta alilazimisha?Rais wa JMT mh Dr Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023
Mungu ni mwema wakati wote!