Ikulu: Rais Magufuli azindua taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete

Unaonekana u mtoto!! EL bado ni tajiri na biashara zake huko Kenya zinasonga!! EL bado anatisha chini chini!! JPM ni mjanja sana! Kundi la JK lilijipenyeza kwake ili atumie power yake kummaliza EL kawapotezea!! Unajua nguvu ya nyaraka za makanisani inapotoka?
JK amekwisha!! Hapati chochote zaidi ya mafao ya Urais!! Biashara zao zimenyongwa kabisa!!

EL hajafa kisiasa wala kibiashara!! Namwonea huruma Membe maana hotel zake zinakufa kwa kasi!
Kikwete kafa nini sasa?


Anahitaji siasa za nn wakati cheo kikubwa kapata urais na kastaafu ?

Kikwete kila kukicha yupo Canada mara usa mara Nigeria mara south mara Mozambique kwa ishu za kikubwa

Tayari kaanzisha NGO kubwa Afrika


Kwahiyo utajiri ndio ushawishi???lowassa ana ushawishi gani kazi kujifungua ndani kwake ashasahaulika ...tishio chini kwa chini wapi na 2020 asigombe urais laa sivyo ataaibika

Jk kila siku mara kazungumza chuo Fulani ,mara ameteuliwa na AU aifanye mara mara ...

Jk aliyestaafu siasa ana ushawishi kuliko EL


Membe&lowassa wote washakufa

Labda hawa mawaziri waliopo na majaliwa namuona
 
Kitu ambacho JK alivuruga sana ni kuchanganya siasa na zile harakati za akina Ilunga!! Tangu hapo nilimdharau sana huyo jamaa!! Hata membe aliamini zile harakati zingembeba
Na kama unajua kusoma body language na presentation ya speech , Magufuli sio yule tuliyemzoea kwanza alikuwa anazungumza akiwa anaangalia chini

Pia kuna kauli hii kasema nanukuu " Serikali yangu haitavumilia taasisi za kiraia zenye mlengo Wa kuanzisha fujo na kuhatarisha Amani "

Hii message ni nzito sana
 
Wewe hujui kitu nakujibu Mara ya mwisho wewe mkereketwa

Katiba ya CCM , kuhusu Rais haijafanyiwa mabadiliko , na kuhusu utaratibu ni uleule toka 1990 ,2000, 2010 kuwa anayekuwa Rais kama hajamaliza muda wake , baada ya miaka 5, Kamati kuu itapitisha Jina Moja , NEC watabariki litapelekwa Mkutano mkuu kupiga kura ya Ndio/Hapana ambapo obviously Lazima Ashinde hiyo imetokea kwa Mwinyi 1990, Mkapa 2000, Kikwete 2010 na itatokea kwa Magufuli 2020

Mambo mengine ,mfiche upumbavu wenu na kuzani haya yanafanyika kwa Magufuli

Ndio maana tunasema ,Magufuli anahujumiwa sana kwa Mambo yasiyokuwapo na Mengine yamefanyika awamu zilizopita

Kama nakuelewa mkuu baro
 
Mkuu nikikuita Mbumbumbu
Sidhani kama nitakosea , hilo andiko umeliokota sijui wapi ?

Mkutano mkuu Wa ccm taifa ulirushwa live ,je uliona hiyo agenda ya kupitisha mabadiliko ya Katiba na hicho kifungu?

Aisee nchi hii ina wapenda umbea wengi sana

Kukusaidia tena

Mabadiliko yako kwenye kanuni za uvccm ,Wazazi na katiba ya uwt hasa upande Wa kupata wabunge , imeweka usawa kupata wabunge wana wake toka Wazaz na madiwani toka jumuiya ya Wazazi ,pia kupata madiwani na wabunge toka Uvccm ,ambapo huko nyuma halikwapo

Je hayo mabadiliko yako ya chooni nani aliyaandika

Je unaweza saidia jukwaa screenshot ya mabadiliko ya kifungu cha katiba ya Rais ili wana jukwaa waone ?
Hahahahahahah mkuu unabishana na taarifa toka Habari Leo?Usijifanye unajua kila kitu.Kuna baadhi ya vitu kubali kujifunza.
 
Utawala bora ndio LA msingi zaidi Mimi nionavyo maana linawagusa na litawezesha afya,ustawi wa vijana na mengine mengi. Kikwete akilijenga jina lake vizuri miaka 20 ijayo tunaweza kuwa na rais anaitwa Ridhiwan Kikwete nadhani naye analijua hilo.
 
Hahahahahahah mkuu unabishana na taarifa toka Habari Leo?Usijifanye unajua kila kitu.Kuna baadhi ya vitu kubali kujifunza.
Hapana mkuu ,Nakuhakikishia hicho kitu hakipo

Sio kwamba nakubishia Hakipo
 
Unaonekana u mtoto!! EL bado ni tajiri na biashara zake huko Kenya zinasonga!! EL bado anatisha chini chini!! JPM ni mjanja sana! Kundi la JK lilijipenyeza kwake ili atumie power yake kummaliza EL kawapotezea!! Unajua nguvu ya nyaraka za makanisani inapotoka?
JK amekwisha!! Hapati chochote zaidi ya mafao ya Urais!! Biashara zao zimenyongwa kabisa!!

EL hajafa kisiasa wala kibiashara!! Namwonea huruma Membe maana hotel zake zinakufa kwa kasi!
Leta ushahidi wa utajiri wa EL.Ushawishi gani unataka JK awe nao?.Busara ni kuacha Rais aliyepo madarakani a exercise his full powers.Ukishakuwa Rais wa nchi unataka nini tena.
 
Hapana mkuu ,Nakuhakikishia hicho kitu hakipo

Sio kwamba nakubishia Hakipo
Unapinga kwa reference zipi?Nimekuletea Habari yenyewe toka kwenye gazeti lao ww unapinga kama nani?Then unatukana matusi kwa vitu usivyovijua hahahahah.Ingia Google huko na hata hapa jf ukitafuta huo uzi upo.Njoo upinge kuwa gazeti lao limedanganya na useme haya mabadiliko hayapo kwa reference sio hisia zako.Mimi nimekuletea gazeti lao utaki,unataka nini?PUNGUZA UJUAJI USIO NA TIJA.HAKUNA CHA MEMBE WALA KOKORO LOLOTE 2020.Asubiri 2025.Nafikiri huwez kubali hii kutokana na propaganda yako uliyokuwa unataka kueneza.HAKUNA KURA YA MAONI 2020 kwa swala la Rais na hoja zilikua ni hakuna Rais aliyewahi kaa miaka 5 so imewekwa ni utaratibu wa kumaliza mihula yake yote.Fuatilia urudi hapa haraka
 
Magufuli anaonekana hayuko happy kabisa naamini kamkubalia jamaa kwa kulazimishwa sana na kujua kucheza na siasa ,

Inside , JPM na JK ni Chui na Paka wanaochekeana ,machoni sababu kuu ni Mpango Wa 2020 ,unaitekelezwa na JK (Team Membe) ili 2020 membe agombee urais ,hakika wanapambana maana maslahi yao mengi yameenda kombo

Pia , JK tubu , Nyerere ni Baba Wa Taifa ,tunaomba umu address kama baba Wa Taifa sio Mzee Nyerere , futa hicho kiapo chako cha kipuuzi kuacha kumuita Nyerere Baba Wa Taifa
Huwa hamkosi cha kusema ili kuhakikisha mnachonganisha
 
Magufuli anaonekana hayuko happy kabisa naamini kamkubalia jamaa kwa kulazimishwa sana na kujua kucheza na siasa ,

Inside , JPM na JK ni Chui na Paka wanaochekeana ,machoni sababu kuu ni Mpango Wa 2020 ,unaitekelezwa na JK (Team Membe) ili 2020 membe agombee urais ,hakika wanapambana maana maslahi yao mengi yameenda kombo

Pia , JK tubu , Nyerere ni Baba Wa Taifa ,tunaomba umu address kama baba Wa Taifa sio Mzee Nyerere , futa hicho kiapo chako cha kipuuzi kuacha kumuita Nyerere Baba Wa Taifa
Ulishawahi kuona tanzania rais akatoka nje ya cabinet au makamu wa rais?
 
Unapinga kwa reference zipi?Nimekuletea Habari yenyewe toka kwenye gazeti lao ww unapinga kama nani?Then unatukana matusi kwa vitu usivyovijua hahahahah.Ingia Google huko na hata hapa jf ukitafuta huo uzi upo.Njoo upinge kuwa gazeti lao limedanganya na useme haya mabadiliko hayapo kwa reference sio hisia zako.Mimi nimekuletea gazeti lao utaki,unataka nini?PUNGUZA UJUAJI USIO NA TIJA.HAKUNA CHA MEMBE WALA KOKORO LOLOTE 2020.Asubiri 2025.Nafikiri huwez kubali hii kutokana na propaganda yako uliyokuwa unataka kueneza.HAKUNA KURA YA MAONI 2020 kwa swala la Rais na hoja zilikua ni hakuna Rais aliyewahi kaa miaka 5 so imewekwa ni utaratibu wa kumaliza mihula yake yote.Fuatilia urudi hapa haraka
Duuhh mkuu naomba nikuache ila tutaendelea mjadala ukileta screenshot ya katiba katika hicho kipengele , huko mitandaoni kila mtu ataandika lakini Ya kuondoa utata ni kifungu cha katiba naomba uniletee mkuu

Usiwe kama Nape aliyesema ,Mradi Wa umeme haumo kwenye Ilani , tukamletea hapa JF na wengine waliobisha

Ebu tusaidie screenshot ya hicho kifungu toka kwenye katiba mkuu
 
Na kama unajua kusoma body language na presentation ya speech , Magufuli sio yule tuliyemzoea kwanza alikuwa anazungumza akiwa anaangalia chini

Pia kuna kauli hii kasema nanukuu " Serikali yangu haitavumilia taasisi za kiraia zenye mlengo Wa kuanzisha fujo na kuhatarisha Amani "

Hii message ni nzito sana
Wewe mtu unachekesha sana.Eti huyu sio Magufuli aliyekuwa anaongea anaangalia chini,mtu ni Rais wa nchi alafu asijiamini?.Hiyo kauli ya JPM kuhusu NGOs,ilitanguliwa na kauli gani ya JK?,au unataka tu kupotosha.
 
Ubishi wenu si uingilii Ila jk jpm ni kitu kimoja na wataendelea kuwa hivyo
Tena leo Magufuli ametamka wazi kuwa bila JK yeye Magufuli asingekuwa Rais leo.Alafu hapa mijitu mingine inataka kuwaaminisha watu eti JK na JPM wana ugonvi mkubwa.
 
Duuhh mkuu naomba nikuache ila tutaendelea mjadala ukileta screenshot ya katiba katika hicho kipengele , huko mitandaoni kila mtu ataandika lakini Ya kuondoa utata ni kifungu cha katiba naomba uniletee mkuu

Usiwe kama Nape aliyesema ,Mradi Wa umeme haumo kwenye Ilani , tukamletea hapa JF na wengine waliobisha

Ebu tusaidie screenshot ya hicho kifungu toka kwenye katiba mkuu
Mabadiliko yote yaliyofanyika na kupitishwa 2017 yatapatikana katika katiba yao toleo namba 13 litakalotoka.Kwani hujasoma gazeti lao wameandika nini?Au hayo mabadiliko mengine umeyaona kwenye katiba ipi?Kuwa mfuatiliaji,then Uache dharau za kipumbavu coz kwa hili tu kichwa umeonesha kichwa chako kuhusu siasa ni cheupe.
 
downloadfile-2.jpg
 
Back
Top Bottom