gomamamuli
New Member
- Jun 5, 2017
- 4
- 8
Mkuu anatangaz wazi kwa sababu nahisi anataka kuvunja mkataba wa madin
Sio kila mtu lazima aende kazini. Wengine wana nyumba zao za kupangisha wanasubiri kodi tu...Mkuu hujaenda kazini? Unasubiri makinikia?
Mkuu nasema nenda kazini nasema nenda Kazini
USITUPOTEZE MALENGO YETU LEO NI SIKU YA BAJETI YA TAIFA BAJETI YA UKWELI.Naam, kama tulivyotangaziwa siku ya jumamosi na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu; Leo ndio siku ambayo watanzania wengi wamekuwa wakiisubiri kwa hamu kubwa. Siku ambayo Mh. Rais anatarajia kupokea ripoti ya pili ya uchunguzi wa makontena ya mchanga wa madini, ripoti ambayo itajibu hoja na maswali mengi ambayo tulikuwa nayo miongoni mwetu.
Karibu tupate kujuzana yale yatakayojiri kutoka viwanja vya IKULU jijini Dar es Salaam.
UPDATES
Michael Amon wengine tupo kwa mkoloni, uweke na link ikianza live ili tuweze kuona, maana ya leo sitaki kuimisi kabisaNaam, kama tulivyotangaziwa siku ya jumamosi na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu; Leo ndio siku ambayo watanzania wengi wamekuwa wakiisubiri kwa hamu kubwa. Siku ambayo Mh. Rais anatarajia kupokea ripoti ya pili ya uchunguzi wa makontena ya mchanga wa madini, ripoti ambayo itajibu hoja na maswali mengi ambayo tulikuwa nayo miongoni mwetu.
Karibu tupate kujuzana yale yatakayojiri kutoka viwanja vya IKULU jijini Dar es Salaam.
UPDATES
Mbona kikwete alikua anapokea ripoti kimya kimya ikulu?magu yy kila ripoti lazima tbc irushe,ni kutojiamini au?
Aibu kwa wote waliosaini mikataba ya wizi.Muda wa kupata aibu kwa watetea mafisadi chadema
Bwana yule ni MTU wa matukio.Mbona kikwete alikua anapokea ripoti kimya kimya ikulu?magu yy kila ripoti lazima tbc irushe,ni kutojiamini au?
Na kodi ulipe mkuuSio kila mtu lazima aende kazini. Wengine wana nyumba zao za kupangisha wanasubiri kodi tu...
Huyo mpuuzi hana loloteLissu ataichambua kama karanga
Mwekezaji mbabaishaji kwenye mazingira wazimu ya uwekezaji.Ndotoo za viwanda zinaenda kuzimwa rasmi leo mwekezaji Mwendawazimu kama Jack Pemba atawekeza kwenye Mazingira ya ubabaishaji kama haya.RIP viwanda
Muda wa kupata aibu kwa watetea mafisadi chadema
Ukinyonga ndani ya ubongo wetu ni asili hivyo tusilaumiane.Mbona kikwete alikua anapokea ripoti kimya kimya ikulu?magu yy kila ripoti lazima tbc irushe,ni kutojiamini au?
Ccm ndio waratibu Mipango ya mafisadi.Muda wa kupata aibu kwa watetea mafisadi chadema
Watendaji wa serikali wameagizwa kila mtu awepo kwenye TV CCM leo inataka kujivua gamba kwa mara ya pili.Ukute imepikwa maana sio kwa matangazo hayo usiku saa 5 magari ya matangazo yanatupigia kelele eti leo tufatilie kwenye tv na radio.
Kutuharibia mda
Au..............malizia basi.Mbona kikwete alikua anapokea ripoti kimya kimya ikulu?magu yy kila ripoti lazima tbc irushe,ni kutojiamini au?