mANg'HOnDi
Member
- Dec 25, 2011
- 69
- 7
familia ya mamba mpaka mtoto anandevu.
Mkuu nawe downloading what !
Mhhh haya yetu macho
maelezo zaidi ya kujichanganya maana Waziri wake Mkuu anasema yake na Spika anasema yake na huku wabunge washaanza kulipwa na wanazitaka kwa kila njia
Wanaopinga wanaonekana wasaliti
Sasa tuelewe lipi
Malipo yake ni TGS Z (joke)Hivi kwa nini asiseme tu kuwa hakubaliani nalo hilo jambo?
Halafu yeye malipo yake ni shi'ngapi?
Hapa kuna mtu atapoteza kibarua chake!
ni mpaka wawe na hiyo aibu,wanaweza kujikausha hata usijue ni waoHii aibu kwa Pinda na Makinda!
ukiona ivo ujue rais hajakubali anawataka waendelee kiasi cha zamani.jk ni mzalendo sanaMbona naona kama Jk anairudisha tena bunge liamue wakati bunge ndo lililopendekeza ongezeko la posho, wameona mambo magumu aati!
Ee Mungu tujalie maisha tuzidi kuona vituko.Mbona wabunge wamemshambulia Zitto aliposema anajua Rais hajasaini?
Screw them! Hivi kuna vyama vingapi vinatawala Tanzania? Hivi waziri mkuu na rais wana matatizo ya mawasiliano?
Katibu wa Bunge - posho hazijalipwa!
Spika - zimelipwa na zimeshaidhinishwa (na nani)?
Pinda - Rais amesafiri kwenda Davos ameniachia suala la posho kuwa nisaini au kutokusaini
Zitto - PInda hana mamlaka ya kusaini
Pinda na Spika - zimeshapitishwa na hela zipo tayari zimetayarishwa ili mlipwe
Wabunge - Applause!
Madaktari - mnajipendelea basi mgomo unaendelea
Wananchi - Tuandamane au tusiandamane?
Kurugenzi ya Ikulu - Rais hajasaini kamwe. Anataka wabunge watumie busara.
Kama mambo ya kusoma ramli vile.......