Hii inaonyesha Raisi, hajaweka wazi msimamo wake juu ya posho anapima joto la wananchi hapa. Lakini, Pinda wala Makinda hawana makosa maana waliambiwa watumie busara zao. Ndio hizo zimetumika sasa. Pinda na mchezo wa dolidoli - nimeachiwa maagizo nisaini ama nisisaini! kombolera likafika kwa wenyewe - ndio wawaa imeitika!