Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,763
- 218,380
Naomba wadau ambao ni wakongwe waliokuwepo wakati ule watusaidie sisi vijana wa kizazi kipya , maana kila nikifikiria sipati majibu , je Mwl Nyerere kwa kauli ile alilenga nini ikiwa yeye mwenyewe alikaa Ikulu kwa zaidi ya miaka 20 ?
Natanguliza shukrani .
Natanguliza shukrani .