Ikulu mbona hamjibu tuhuma hii?

Ikulu mbona hamjibu tuhuma hii?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,990
Reaction score
17,049
Imekuwa kawaida ya wasemaji wa ikulu kujibu haraka haraka tuhuma zinazotolewa juu ya watumishi wa ikulu hasa rais kikwete.

Majuzi tumemsikia EL akidai kuwa mamlaka ya juu yake (rais) indiyo iliidhinisha mkataba wa richmond kusainiwa licha ya kutiliwa shaka na wataalam. Swali ni kitu gani kinamzuia salva na wenzake kuliongelea hili (kukanusha) kama ilivyo kawaida yao?

Tafakari!
 
Imekuwa kawaida ya wasemaji wa ikulu kujibu haraka haraka tuhuma zinazotolewa juu ya watumishi wa ikulu hasa rais kikwete.
Majuzi tumemsikia EL akidai kuwa mamlaka ya juu yake (rais) indiyo iliidhisha mkataba wa richmond kusainiwa licha ya kutiliwa shaka na wataalam. Swali ni kitu gani kinamzuia salva na wenzake kuliongelea hili (kukanusha) kama ilivyo kawaida yao? Tafakari!

Mkuu wameufyata, awawezi thubutu kumjibu Mh. Lowasa, wanajua moto utawaka. watanzania walimuachia nchi mpiga deal Vasco Dagama.
 
Ikulu wako likizo na mkwere yuko matembezini wakirudi watashugulikia kero zenu zote.
 
Walimtumia Shamsi Vuai Nahodha kuanza kulainisha nati ... Kamwe JK hawezi kufanyakosa la kiufundi la kumjibu Lowassa maana atafunguka zaidi ...
Imekuwa kawaida ya wasemaji wa ikulu kujibu haraka haraka tuhuma zinazotolewa juu ya watumishi wa ikulu hasa rais kikwete.
Majuzi tumemsikia EL akidai kuwa mamlaka ya juu yake (rais) indiyo iliidhisha mkataba wa richmond kusainiwa licha ya kutiliwa shaka na wataalam. Swali ni kitu gani kinamzuia salva na wenzake kuliongelea hili (kukanusha) kama ilivyo kawaida yao? Tafakari!
 
LOWASSA mwizi mpaka sasa anaona awasingizie wengine.
 
thubutu wakanusheeee hawajitaki kustaafu kwema, maana salva, mkulu wanastaafu oct 25, salva inabidi aanza kujikomba kwa anayekuja aone kama ataambulia chochote au kilimo kinamsubili.
 
LOWASSA mwizi mpaka sasa anaona awasingizie wengine.

Ukimsingizia mtu jambo yeye akakaa kimya jibu ni kwamba hajasingiziwa, mbona jukwaa hili limeingiliwa na watu wasiokuwa gt?
 
juu wapi? nadhani jamaa bado wanajadili kama hiyo juu ilimaanisha hapo, maana hata mimi hiyo kauli haipo wazi sana, juu ya meza, kiti au juu ya paa, sikuielewa.
 
Lowasa anayo mambo mengi moyoni,Ikulu wakimjibu atasema mengi na nchi itayumba.Boro Ikulu na mkwere wao wajikalie kimya wasije wakaaribu zaidi.Huu ni upepo utapita tu kwani yamepita mangapi,Escrow,Kagoda,Epa nk yote yamepita ije kuwa tabu hii blabla ya Lowasa
 
juu wapi? nadhani jamaa bado wanajadili kama hiyo juu ilimaanisha hapo, maana hata mimi hiyo kauli haipo wazi sana, juu ya meza, kiti au juu ya paa, sikuielewa.

Unaipotezea kiainaee
 
Majibu ya Ikulu huu ni upepo tu utapita.Tuendelee kula kuku achana na blabla za Lowasa
 
Back
Top Bottom