OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Hawawezi kujinu wakati ni ukweli..... Lowassa kashasema wakijubu tu anamwaga data
Kwani mwenye ikulu amesharidi?
Imekuwa kawaida ya wasemaji wa ikulu kujibu haraka haraka tuhuma zinazotolewa juu ya watumishi wa ikulu hasa rais kikwete.
Majuzi tumemsikia EL akidai kuwa mamlaka ya juu yake (rais) indiyo iliidhinisha mkataba wa richmond kusainiwa licha ya kutiliwa shaka na wataalam. Swali ni kitu gani kinamzuia salva na wenzake kuliongelea hili (kukanusha) kama ilivyo kawaida yao? Tafakari!
Kwani Vasco dagama Wa bagamoyo yupo?
Vasco dagama yuko safarini kuelekea Tanga hajafika ofisini mwezi wa nne sasa
Mkuu mbona sijaona cha maana cha kujibu kwenye hili andiko lako jepesi na halina maana.
LOWASSA mwizi mpaka sasa anaona awasingizie wengine.
Wewe unampenda Lowasa unaonekana tu, ila unajifanya humpendi ili uendelee kupata tonge.LOWASSA mwizi mpaka sasa anaona awasingizie wengine.
Imekuwa kawaida ya wasemaji wa ikulu kujibu haraka haraka tuhuma zinazotolewa juu ya watumishi wa ikulu hasa rais kikwete.
Majuzi tumemsikia EL akidai kuwa mamlaka ya juu yake (rais) indiyo iliidhinisha mkataba wa richmond kusainiwa licha ya kutiliwa shaka na wataalam. Swali ni kitu gani kinamzuia salva na wenzake kuliongelea hili (kukanusha) kama ilivyo kawaida yao? Tafakari!