Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,074
- 5,913
Msemaji wa Ikulu ni Arsenal damuNimeona taarifa Mh Rais yuko Zanzibar leo anazindua miradi gani sijui ila ajabu sio kama utaratibu tuliouzoea sasahivi Mh Rais anasafiri kimya kimya kulikoni?
Ikumbukwe siku 5 nyuma page ya Ikulu iliutaarifu umma kuwa Mh Rais Samia ataondoka kwenda Zambia kushuhudia uapisha wa Rais mteule wa Zambia ila chaajabu walifunga comment na leo kaibukia Zanzibar bila taarifa! Shuda nini haswa? Comment zinawakera?