Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,335
- 6,617
Umenikumbusha Captain Mkonyi alikuwa mmoja wa marubani wa kuileta kwa saa ishirini kutoka London hadi bongo
Hiyo Dreamliner wanasema gharama ya wese si kawaida na hiyo je kwasaa 20 ilikuwaje hapo.. !Umenikumbusha Captain Mkonyi alikuwa mmoja wa marubani wa kuileta kwa saa ishirini kutoka London hadi bongo
Ni ndege ya kisasa ambayo hulazimiki kutua mahali kwa safari ndefu, ngoja wataalumu waje watusaidie kuhusu matumizi ya mafutaHiyo Dreamliner wanasema gharama ya wese si kawaida na hiyo je kwasaa 20 ilikuwaje hapo.. !
Huu umasikini umetuumiza sana,wewe unadhani Tanzania ndo nchi ya kwanza kumiliki airbus? Zile ndege za mwanzo za fastjet zilikuwa nini? je SA Dar Joberg wanatumia ndege gani?Pole sanaAlikuwa anamuelewesha JK utam wa eabasi
Kwani ameenda kwenye ndege moja na abilia wengine au serikali imekodi ndege ya ATCL and so kaitumia Kama private jetIwapo Angeenda na ndege yake BAVICHA mngekuja hapa kuanzisha uzi wenye kichwa cha habari ' Kwanini raisi atumie ndege yake wakati ATCL inafanya safari zake kwenda Joberg' na ungekuja na fake calculation za gharama za kutumia ATCL vis a vis ndege ya raisi na ungekuja na conclusion kwamba raisi anamatumizi mabaya ya rasilimali. Tumeahawashtukia na siasa zenu za matukio..hatuwapi kiki.
Hiyo mimba ukifungua salama huyo mtoto mpe jina BAVICHAIwapo Angeenda na ndege yake BAVICHA mngekuja hapa kuanzisha uzi wenye kichwa cha habari ' Kwanini raisi atumie ndege yake wakati ATCL inafanya safari zake kwenda Joberg' na ungekuja na fake calculation za gharama za kutumia ATCL vis a vis ndege ya raisi na ungekuja na conclusion kwamba raisi anamatumizi mabaya ya rasilimali. Tumeahawashtukia na siasa zenu za matukio..hatuwapi kiki.
Ile ndege ya rais iliyonunuliwa wakati wa awamu ya tatu ya uongozi wa Benjamin Mkapa iliyoleta ubishani mkubwa hadi waziri wa fedha wakati huo Basil Mramba akasema watanzania wako tayari kula hata nyasi ili ndege inunuliwe na kisha ikanynuliwa iko wapi? Je inafanya kazi?
Nauliza hivi maana nilitegemea safari za rais Magufuli nje ya nchi na baadhi ya sehemu ndani ya nchi angetumia ndege hii ambayo ni maalumu kwa safari za rais lakini sasa tunaona anatumia ndege za ATCL.
Iwapo Angeenda na ndege yake BAVICHA mngekuja hapa kuanzisha uzi wenye kichwa cha habari ' Kwanini raisi atumie ndege yake wakati ATCL inafanya safari zake kwenda Joberg' na ungekuja na fake calculation za gharama za kutumia ATCL vis a vis ndege ya raisi na ungekuja na conclusion kwamba raisi anamatumizi mabaya ya rasilimali. Tumeahawashtukia na siasa zenu za matukio..hatuwapi kiki.
Mbona umeandika kisukuma mkuuNi hivi msukuma aliona iko kindege ni kidogo sana janunua jubwa ndilo linafaa kwa safari zako. Kike kidogo kaachia atcl
Ile ndege ya rais iliyonunuliwa wakati wa awamu ya tatu ya uongozi wa Benjamin Mkapa iliyoleta ubishani mkubwa hadi waziri wa fedha wakati huo Basil Mramba akasema watanzania wako tayari kula hata nyasi ili ndege inunuliwe na kisha ikanynuliwa iko wapi? Je inafanya kazi?
Nauliza hivi maana nilitegemea safari za rais Magufuli nje ya nchi na baadhi ya sehemu ndani ya nchi angetumia ndege hii ambayo ni maalumu kwa safari za rais lakini sasa tunaona anatumia ndege za ATCL.