Ipo nzima ya afya. Rais sio mtembezi ndio maana huioni hewani.View attachment 807509 Kwa wanaofahamu, utendaji wake wa kazi ukoje kwa sasa?
Maana nakumbuka kipindi kile aliyekuwa waziri wa nini sijui, Basil Mramba, alidiriki kusema akiwa 'sober' kabisa; " Hata ikibidi waTanzania mle nyasi, ndege ya rais ni lazima inunuliwe".
Loooh..., good news, maana nilishaanza kupaniki na kutaka kucheua nyasi zote Mramba..Ipo nzima ya afya. Rais sio mtembezi ndio maana huioni hewani.
Inzi wa kijani huyu!!Ipo nzima ya afya. Rais sio mtembezi ndio maana huioni hewani.
Gulf stream. Ni ndege maalumu ya kumbeba rais . And yes bado ipoInaitwa Gulf spring? Sasa ipo terminal inambeba Rais yupi hapo terminal 1, au imeshakuwa screpa nini? Na nyasi zote zile tulizolishwa na Mramba?
SwafiiiiIpo nzima ya afya. Rais sio mtembezi ndio maana huioni hewani.
NiceGulf stream. Ni ndege maalumu ya kumbeba rais . And yes bado ipo
Kigamboni!mkuu unakumbuka na ile ya kupiga mbizi mpk ng'ambo ya pili kama huna ela ya kivuko
Kigamboni!
HahahahaInaitwa Gulf spring? Sasa ipo terminal inambeba Rais yupi hapo terminal 1, au imeshakuwa screpa nini? Na nyasi zote zile tulizolishwa na Mramba?
Wewe, utapata taabu sana!Loooh..., good news, maana nilishaanza kupaniki na kutaka kucheua nyasi zote Mramba..
Eff off.Inzi wa kijani huyu!!
Watapata tabu wale wasio na nyasi za kutosha awamu ya 5, maana tunanunua ndege non-stop, wekeni stock ya nyasi na grease ya kutosha, huu ni msimu mgumu sanaWewe, utapata taabu sana!
Mbavu zangu jamani uwiii
mkuu si kwa nyasi zile tulizolishwa mithili ya mbuziLoooh..., good news, maana nilishaanza kupaniki na kutaka kucheua nyasi zote Mramba..
Hahahha..., acha tu yani..mkuu si kwa nyasi zile tulizolishwa mithili ya mbuzi
Hahahahaha kwani mkuu hukuwahi kula nyasi wakati ule Mramba akikusanya hela ya kununulia ndege?Hahahaha
Nyasi zililiwa au?
Haki ya Mola wangu jf kiboko walahi