Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Utangulizi
Mwanadamu katika lugha ya kiroho ana mwili, ana nafsi na ana roho, ndio maana mwz 1:26, Mungu anamuumba Mwandamu Roho, Mwz 2:7 anaumba mwili na nafsi Vyote vinafanya kazi Kwa ushirikiano ndani ya Mwanadamu.
Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mungu hajawai kubadili utaratibu wake Hadi kesho Mungu akitaka kuleta MTU mwanadamu anaanza na Roho Kwanza na mwili anakuja kuchukua Kwa mwanamke
Wakati Yesu anazaliwa , Yesu alikuwepo kabla hata ulimwengu kuwepo lakini hakuwa na mwili WA nyama kama wanadamu na ndio maana alipokuwa anakuja duniani ulitafutwa mwili ili aweze kuja Kwa Sura ya mwandamu na ndipo bikira Mariam alipewa nafsi hiyo ya kupitisha mwili WA Yesu kwa njia ya kibinadamu
Waebrania 10:5
[5]Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka,
Lakini mwili uliniwekea tayari;
Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Kuna mahusiano makubwa Kati ya fedha yako na uzao wako
A. Fedha inakaa kwenye Moyo
Mathayo 6:21kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Moyo Kibiblia sio Moyo WA Damu na nyama tunazungumzia MTU wa ndani ndio huyo ambaye ana beba vitu Vyote kuanzia Roho WA Mungu, fedha yako, mawazo yako , nafsi yako na etc kwa hiyo fedha yako siku zote unabeba Roho iliyoko ndani yako
B. Roho iliyoko nyuma yake
Fedha unabeba Roho ndani yake hivyo popote unapojipatia kipato kuna hamua ni Roho yupo atakaye tawala kesho yako yaani uzao wako
Luka 22:3-6 Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.
Akaondoka, akaenda akasema na wakuu wa makuhani na majemadari, jinsi atakavyoweza kumtia mikononi mwao. Wakafurahi, wakapatana
Akakubali, akatafuta nafasi ya kumsaliti kwao pasipokuwapo mkutano.
Najifikiri kitendo cha Yuda kupokea wazo la kumsaliti Yesu kwa vipande 30 vya fedha shetani akamwingia hapo hapo , ina maana siku zote chunga Sana unapopokea fedha inatoka kwa Roho hipi
C. Imebeba nini?
Wakati mwingine fedha inabeba magonjwa na mengine ni ya kuambukizwa na mengine sio ya kuambukiza , unaweza kupelekea kizazi chako magonjwa pasipo kujua
2 Wafalme 5:1,10,15-16,20,27
[1]Basi Naamani, jemadari wa jeshi la mfalme wa Shamu, alikuwa mtu mkubwa mbele ya bwana wake, na mwenye kuheshimiwa, kwa sababu kwa mkono wake BWANA alikuwa amewapa Washami kushinda;
[10]Naye Elisha akampelekea mjumbe, akisema, Enenda ukaoge katika Yordani mara saba, na nyama ya mwili wako itakurudia, nawe utakuwa safi.
.
[15]Akamrudia yule mtu wa Mungu, yeye na mafuatano yake yote. Akaja, akasimama mbele yake; akasema, Sasa tazama, najua ya kwamba hakuna Mungu duniani mwote, ila katika Israeli; basi nakuomba upokee mbaraka kwa mtumwa wako.
[16]Lakini akasema, Kama BWANA aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sipokei kitu. Akamshurutisha apokee; lakini akakataa.
.
[20]Lakini Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akasema, Tazama, bwana wangu amemwachilia huyo Naamani Mshami, asivipokee mikononi mwake vile vitu alivyovileta; kama BWANA aishivyo, mimi nitamfuata mbio, nipokee kitu kwake.
[27]Basi ukoma wa Naamani utakushika wewe, na wazao wako hata milele. Naye akatoka usoni pake mwenye ukoma kama theluji.
Najiuliza maswali wale watoto WA Gehazi wanapomuuliza Baba Yao kwanini wao wanazaliwa na ukoma sizani kama angepata usajiri kwamba alikwenda kupokea posho ya namaani ambayo Mungu aliwakataza kupokea
5. Udanganyifu
Fedha inabeba na Roho ya udanganyifu , na uzao unakuwa na kizazi cha watu wahongo
Matendo ya Mitume 5:1-3
[1]Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,
,
[2]akazuia kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja .
[3]Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?
Mwanadamu katika lugha ya kiroho ana mwili, ana nafsi na ana roho, ndio maana mwz 1:26, Mungu anamuumba Mwandamu Roho, Mwz 2:7 anaumba mwili na nafsi Vyote vinafanya kazi Kwa ushirikiano ndani ya Mwanadamu.
Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mungu hajawai kubadili utaratibu wake Hadi kesho Mungu akitaka kuleta MTU mwanadamu anaanza na Roho Kwanza na mwili anakuja kuchukua Kwa mwanamke
Wakati Yesu anazaliwa , Yesu alikuwepo kabla hata ulimwengu kuwepo lakini hakuwa na mwili WA nyama kama wanadamu na ndio maana alipokuwa anakuja duniani ulitafutwa mwili ili aweze kuja Kwa Sura ya mwandamu na ndipo bikira Mariam alipewa nafsi hiyo ya kupitisha mwili WA Yesu kwa njia ya kibinadamu
Waebrania 10:5
[5]Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka,
Lakini mwili uliniwekea tayari;
Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Kuna mahusiano makubwa Kati ya fedha yako na uzao wako
A. Fedha inakaa kwenye Moyo
Mathayo 6:21kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Moyo Kibiblia sio Moyo WA Damu na nyama tunazungumzia MTU wa ndani ndio huyo ambaye ana beba vitu Vyote kuanzia Roho WA Mungu, fedha yako, mawazo yako , nafsi yako na etc kwa hiyo fedha yako siku zote unabeba Roho iliyoko ndani yako
B. Roho iliyoko nyuma yake
Fedha unabeba Roho ndani yake hivyo popote unapojipatia kipato kuna hamua ni Roho yupo atakaye tawala kesho yako yaani uzao wako
Luka 22:3-6 Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.
Akaondoka, akaenda akasema na wakuu wa makuhani na majemadari, jinsi atakavyoweza kumtia mikononi mwao. Wakafurahi, wakapatana
Akakubali, akatafuta nafasi ya kumsaliti kwao pasipokuwapo mkutano.
Najifikiri kitendo cha Yuda kupokea wazo la kumsaliti Yesu kwa vipande 30 vya fedha shetani akamwingia hapo hapo , ina maana siku zote chunga Sana unapopokea fedha inatoka kwa Roho hipi
C. Imebeba nini?
Wakati mwingine fedha inabeba magonjwa na mengine ni ya kuambukizwa na mengine sio ya kuambukiza , unaweza kupelekea kizazi chako magonjwa pasipo kujua
2 Wafalme 5:1,10,15-16,20,27
[1]Basi Naamani, jemadari wa jeshi la mfalme wa Shamu, alikuwa mtu mkubwa mbele ya bwana wake, na mwenye kuheshimiwa, kwa sababu kwa mkono wake BWANA alikuwa amewapa Washami kushinda;
[10]Naye Elisha akampelekea mjumbe, akisema, Enenda ukaoge katika Yordani mara saba, na nyama ya mwili wako itakurudia, nawe utakuwa safi.
.
[15]Akamrudia yule mtu wa Mungu, yeye na mafuatano yake yote. Akaja, akasimama mbele yake; akasema, Sasa tazama, najua ya kwamba hakuna Mungu duniani mwote, ila katika Israeli; basi nakuomba upokee mbaraka kwa mtumwa wako.
[16]Lakini akasema, Kama BWANA aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sipokei kitu. Akamshurutisha apokee; lakini akakataa.
.
[20]Lakini Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akasema, Tazama, bwana wangu amemwachilia huyo Naamani Mshami, asivipokee mikononi mwake vile vitu alivyovileta; kama BWANA aishivyo, mimi nitamfuata mbio, nipokee kitu kwake.
[27]Basi ukoma wa Naamani utakushika wewe, na wazao wako hata milele. Naye akatoka usoni pake mwenye ukoma kama theluji.
Najiuliza maswali wale watoto WA Gehazi wanapomuuliza Baba Yao kwanini wao wanazaliwa na ukoma sizani kama angepata usajiri kwamba alikwenda kupokea posho ya namaani ambayo Mungu aliwakataza kupokea
5. Udanganyifu
Fedha inabeba na Roho ya udanganyifu , na uzao unakuwa na kizazi cha watu wahongo
Matendo ya Mitume 5:1-3
[1]Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,
,
[2]akazuia kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja .
[3]Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?