Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,100
- 136,737
sasa akiwa career women humuhudumii??
Khaaa ndo nasikia leo
Salamu kwanza shikamoo
Nimesema usimhudumie?
sasa akiwa career women humuhudumii??
Khaaa ndo nasikia leo
Salamu kwanza shikamoo
wanawake wengi wanajiuza,sema tu hawajipangi pale buguruni
wanawake wengi wanajiuza,sema tu hawajipangi pale buguruni
MADEMU wengi wao wa USWAHILINI hizo ndio Kasumba zao, Wanataka Mkishamaliza Game tuu, Umtoe Mshiko lakini MADEMU WETU WA USHUANI wala Tena unaweza ukashangaa Unawekea CHENJI MAITI(U$100) kwa JEANS Unaenda kuikuta Mbele, wanakutxt Take it Easy, Hayo Ndio Maisha, Kama Ni mwanamke wa Kuombaomba Hela Sitaki Kabisa hao kwanza wanatia NUKSI kweli
Nimesema usimhudumie?
sawa mbona hujaitikia shikamoo?
Umekuja na jazba sana haya nieleweshe
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
Smile ndugu yangu wewe bado sanaaaaaa! Hii mijambawazi usipoiwezea kuitight by the balls hupati kitu kabisaaaaa! Dawa yao ni kugrab them by the balls and grab them tightly tena sio kwa mikono kwa SPANA au PRISE kabisaaaa!
Dear hawa viumbe hawana jemaaaa! omba hela usiombe haibadilishi view yake juu yako! Wewe jibanee ndo kwanza anafurahi demu jinga kabisaaa yule, simhudumii hata mia na namgegeda kila nikijiskia!!!!! Afu ukiwa unampa bure shosti hakuachii hata akikuchoka aje! Cha bure kitamu atiiiii! Atakuplay mpaka siku anaoa!!!!
Ila demu Kubwa la Maadui zinga la bili ya expenses, akikuchoka kidogo tu lazima akupe redundacy! Wanaume kutokutulia ni tabia tuuuu! Mwengine wewe unampa hela anaenda kuhonga! Upo hapo?
Kuchukua hela simuuzii ila ananitunza koz alinikuta nangaa kwa kutunzwa na wenzie! Habari ndo hiyo!
Sasa wewe jifanye Mama Teresa uone habari yako!