mapenzi ya namna hiyo ndio mimi sipendi, mwanamke anakuja kwako ili kupata huduma tu na sio mapenzi, material girls, i dont like it.
kama uko serious unataka kutolewa na mwanamke nipm. Ila uwe tayari kuhimili adha za kutolewa na mwanamke.
hahahahhaa ahaa si unaona wewe mwenyewe una- declare kuwa nyie mkitutoa kunakuwa na adha!? Mbona sisi huwana hatuna shida tunatoa kiroho safi!!?
Naunga mkono hoja, na wanaofiki waseme ndio...
Ndiooooooooooo!!!!
kwani aliyemuanza mwenzie nani mwenye shida si wewe lazima uliwe tu!
hao wanaozungumza usawa wanatoka katika broken relationship(s). Wanawake waliotulia vizuri kwa wanaume zao hilo swali la usawa ni msamiati. Ha ha ha ha ha ha!
hii ndo mitazamo ya kishamba mwanamke kua tegemezi yani wewe kisa mwanaume unae inabidi awe anakuhudumia halafu mkiwa mnakandamizwa mnadai haki sawa..siku izi life taff mwanamke jishughulishe uwe na kipato chako sio unakaa tu kuckilizia jamaa akufanyie vitu..skuiz ubahili mwanzo mwisho yan..Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
Umekopwa wewe!!maana umekaa ukisikilizia jamaa takata mara naye kameza pin!!sasa naona umeona huo ni umaku bora umwage jamvini!!na wanaume kwa siku hizi siyo wabahili pesa hakunaaaaa!!wenye hera wanawake!!ila mimi na nivea mbona hicho kidogo anaridhika nyie mnataka Swift!!haya mnaishia kukopwa watu noma!anakuvuruga anakutoa mswaki na wewe kuomba unaona aibu!!hapo chacha!:bowl::majani7:Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
Mapenzi ya namna hiyo ndio mimi sipendi, mwanamke anakuja kwako ili kupata huduma tu na sio mapenzi, material girls, i dont like it.
Umekopwa wewe!!maana umekaa ukisikilizia jamaa takata mara naye kameza pin!!sasa naona umeona huo ni umaku bora umwage jamvini!!na wanaume kwa siku hizi siyo wabahili pesa hakunaaaaa!!wenye hera wanawake!!ila mimi na nivea mbona hicho kidogo anaridhika nyie mnataka Swift!!haya mnaishia kukopwa watu noma!anakuvuruga anakutoa mswaki na wewe kuomba unaona aibu!!hapo chacha!:bowl::majani7:
Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe???