Ikizidi inakeraaaaaaaa

asante sana lara 1 maana leo hii mijanaume imeguswa wallet zao wanapiga makelele. Mbona zile post za Natalia mnakuja mbio na kushabikia?? Leo hela mnarukaaaa futi mia!
Heshima hela shikamooo kelele tu.
Heshima hela shikamooo kelele tu! UMESAHAU LAKI SI PESA! MAANA KUNA WENGINE WANATOA LAKI
 
hivi si ninyi mnataka haki sawa kwa wote maswala ya women impowerment, au nmesahau?
mwanaume anafanya kazi na mwanamke pia?
hivi ukiwa muongo shida mana hukumbuki ata uongo wa jana. hebu wachini hizo,,,hata kile kipindi cha
wanawake live EATV kinawafundisha wanawake kuchakarika, sio kila kitu nasubiri mumeo akuletee wee zoba
nyambafu
 
mi siombi hela ya mtu nitaishi kwa uwezo wangu nikikosa hela ya kusuka nanyoa,nikikosa kiatu natembea peku akitaka anisaidie tu mwenyewe
WANAUME WENYEWE WA SIKU HIZI WANAPIGA MIZINGA ,UKISALIMIKA KUOMBWA HELA WEWE SHUKURU...TUTABANANA HIVOHIVO
SASA SHOSTI LARA NIKOPESHE LAKI 3 NINA SARE YA HARUSI NATAKA KWENDA KUNUNUA PALE QUALITY KWA AMINA DESIGN JAMANI

Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!
 
Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!

Mgodi!!!
 
Smile ndugu yangu wewe bado sanaaaaaa! Hii mijambawazi usipoiwezea kuitight by the balls hupati kitu kabisaaaaa! Dawa yao ni kugrab them by the balls and grab them tightly tena sio kwa mikono kwa SPANA au PRISE kabisaaaa!

Dear hawa viumbe hawana jemaaaa! omba hela usiombe haibadilishi view yake juu yako! Wewe jibanee ndo kwanza anafurahi demu jinga kabisaaa yule, simhudumii hata mia na namgegeda kila nikijiskia!!!!! Afu ukiwa unampa bure shosti hakuachii hata akikuchoka aje! Cha bure kitamu atiiiii! Atakuplay mpaka siku anaoa!!!!

Ila demu Kubwa la Maadui zinga la bili ya expenses, akikuchoka kidogo tu lazima akupe redundacy! Wanaume kutokutulia ni tabia tuuuu! Mwengine wewe unampa hela anaenda kuhonga! Upo hapo?

Kuchukua hela simuuzii ila ananitunza koz alinikuta nangaa kwa kutunzwa na wenzie! Habari ndo hiyo!

Sasa wewe jifanye Mama Teresa uone habari yako!


Hapo nilipo bold ninakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa....!!
 
Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!
mgodi wako unatema lini jamani ? unipe hata nusu
 
wanachopigania wanawake ni haki sawa haki ya elimi, malazi, chakula, ajira na etc. na si unavyofikiria kama ni usawa unaofikiria wewe si mngeambiwa mzae lakini si huo wanachotaka ni haki
hahahahahahhahahahhahahaaa maji yakizidi mtavikana vyote! sasa umeanza kukana swala la cash! nilikuwa sijui kumbe mfumo dume bado ndo una mamlaka ya ku-supervise cash flow!
Yaani nyie na kelele zenu za usawa mnajifurahisha tu! usawa haupo hata siku moja
 
asante sana lara 1 maana leo hii mijanaume imeguswa wallet zao wanapiga makelele. Mbona zile post za Natalia mnakuja mbio na kushabikia?? Leo hela mnarukaaaa futi mia!
Heshima hela shikamooo kelele tu.

baelezee hao wasikwepe majukum, mwanaume hasifiwi sura anasifiwa kuingia bank kudeposit na kudrawal, full stop, haijalishi haki sawa bt kwenye hili nature shud stand,
 
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.

Wee mtoto. Wakikusikia wanaharakati watakuroga. Wanasema, mwanamke na mwanaume ni sawa. Sasa wewe unazungumza kitu gani hapa? Hebu pekua makabrasha yako uone mijadala ilivyo mikali.
 
hahahahahahhahahahhahahaaa maji yakizidi mtavikana vyote! sasa umeanza kukana swala la cash! nilikuwa sijui kumbe mfumo dume bado ndo una mamlaka ya ku-supervise cash flow!
Yaani nyie na kelele zenu za usawa mnajifurahisha tu! usawa haupo hata siku moja

Hao wanaozungumza usawa wanatoka katika broken relationship(s). Wanawake waliotulia vizuri kwa wanaume zao hilo swali la usawa ni msamiati. Ha ha ha ha ha ha!
 
Pole shostiii! Ndo ujifunze kuwa na kismati cha kugonga migodi! Inatakiwa ukigusa tu mgodi! Hawa pasua vichwa mimi nao stori tu kula wakale kwa mademu wao wa uswaziii au wowote wale wasiojua hazina waliyonayo!

Unigegede bureeeeee! Thubutuuuuuuu!

Tusemage ukweli tu mwanaume asiekupa pesa ni mzigooooo tena wa miiiba haubebeki!

Lara1 bana..u never let me down baby....... sasa angalizo moja hapo kwene migodi....huwa kwa kwaida si lazima ufanye exploration ndo uanze kuchimba.... nafikiri mleta mada hayo yanamkutaga wakati aki explore...tatizo hapo ni uvumilivu tu...mgodi lazima uwekeze kwanza.....na kuwekeza kwenyewe ndo hukooo..kugegedwa buree kwa mda flani ndo mgodi uanza kutema mawe...au ? ebu nisahihishe
 
mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? Atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.
huduma ntunapata ila hata wanawake si mnapata huduma.haki sawa nusu kwa nusu hadi kufikia 2020.
 
kama unagegedwa kwa malipo basi hapo kigegedo chako unakiuza ama sielewi!
kusaidiana kupo ila sio kisa umegegedwa ndo upewe hela.usiogope shida kiiivo! mimi kuna siku nilitoka na mpenziwangu akaniacha mwenge nilikuwa sina nauli nilikuwa na plan niingie atm pale kumbe wallet niliokuwa nayo nilichange so haiikuwa na card wala sikumpigia wala nini hata niwe na shida ya kufa sitokaa niombe hela ya mtu niliacha zamani hiyo tabia

kama hawezi kunipa mwenyewe basi ,ni kweli hela ya mwanaume ni tamu lakini sio lazima kwenye mahusiano! kwanza wanaume wanaototoa hela hawajatulia wanafanya hela ni defence mechanism yao !

Smile ulivyo achwa mwenge na card hukuwa nayo....kwa hiyo ulitembea mpaka tegeta kwa miguu..au ulifanyaje.
 
Mi nashangaa Lara1 anang'ang'ania kupewa hela as if yeye tu ndio anatumika. Kwani mwanaume hatumiki? Msiseme wanawake ndio wanaogegedwa, semeni wanaume na wanawake WANAGEGEDANA. Kwani mkiwa kwenye 6x6 mwanaume hatumiki? Au akili zenu ziko sivyo? Shwaini!
 
Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!
Nitafute mimi, fanya booking mapema kabla ya Ijumaa!
 
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.

Basi baadhi ya wanawake mtakua waongo na wanafiki...ukiwa kitandani na mpenziwako unamwambia "Honey unajua mimi nimekupendea tu ulivyo....sijakupendea pesa wala nini."
Alafu ukija JF unapiga kelele ooh hanipi pesa..bla..bla bla... muwe waangalifu na maneno mnayotuambiaga.... wengine hatutaniwi mzee..ukiniambia hujanipendea pesa ..ahh nakutoa mswaki tu kila siku tena ntakupenda kweli..
 
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.

Mi nilikacha mahusiano na mwanamke mmoja...Aliponikubali tu eti anaomba laki 3 nikasema lo! Kwishinet!
 
Back
Top Bottom