Ikiwa wazazi wenu walisema siasa Mbaya na haifai leo hii mnawalaumu walioingia huko na sasa wanakula matunda

Ikiwa wazazi wenu walisema siasa Mbaya na haifai leo hii mnawalaumu walioingia huko na sasa wanakula matunda

Sales man

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2025
Posts
571
Reaction score
843
Tuache kulalamika, MTU ameingia katika siasa, kakukbali kutukanwa , kubezwa n.k

Na nyie mlisema siasa ni Mbaya Ila Leo hii mnalalamika nini sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom